Ushauri Maumivu ya Kiuno

Ushauri Maumivu ya Kiuno

kalanga

Member
Joined
Feb 2, 2011
Posts
79
Reaction score
69
Wataalamu naombeni ushauri,naumwa sana na kiuno yapata wiki ya Tatu Sasa.Nilienda hospital nikaambiwa ni UTI nikapewa dawa Cipro,dozi kuisha tatizo likawa bado nikatumia Doxycycline na yenyewe ikaisha lakini tatizo bado Mara ya Mwisho nikaenda BOCHI hospital nikaambiwa UTI ipo kidogo nikapewa Amoxclave nimemaliza dozi juzi lakini bado nasikia Maumivu nikikaa au kulala wakati wa kuamka inakuwa ishu.Mwenye uzoefu naomba ushauri tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wataalamu naombeni ushauri,naumwa sana na kiuno yapata wiki ya Tatu Sasa.Nilienda hospital nikaambiwa ni UTI nikapewa dawa Cipro,dozi kuisha tatizo likawa bado nikatumia Doxycycline na yenyewe ikaisha lakini tatizo bado Mara ya Mwisho nikaenda BOCHI hospital nikaambiwa UTI ipo kidogo nikapewa Amoxclave nimemaliza dozi juzi lakini bado nasikia Maumivu nikikaa au kulala wakati wa kuamka inakuwa ishu.Mwenye uzoefu naomba ushauri tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui chanzo ni nn,ila kuna haya mawili.
Either unafanya kazi za kukaa mda mref sana,yani unakaa sana kwenye kiti mda mref bila kunyanyuka.Or una overweight,yani umenenepa sana hasa kitambi.Hata mm ishawah kunikuta hyo kwanza nilipiga xray nkambiwa pingili za uti wa mgongo zimezingua nkaanzishiwa physiotherap.now niko powhr



Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom