Ushauri: Mashemeji ni hatari siku hizi

Ligogoma

JF-Expert Member
Aug 27, 2010
3,503
6,386
Ushauri,

Wadada mlioolewa, wenye ndugu wa kike halafu wanaishi haya maisha ya kimjini mjini kujidai wanazo na masupastaa.

Epuka kuishi nao nyumba moja, ni hatari kwa ndoa yako, hutamani yale unayopewa na mumeo basi nae apate mfano outing, mausafiri haya, mavazi, the way mnavyoishi na n.k.

Mbaya zaidi hawatongozwi wala kutongoza bali hutumia maungo yao na mbinu za kikungwi wanazopeana wazi wazi kwenye magrupu ya watsapp, mumeo akichomoka hiyo mitego kapike sadaka.

Ni experience ya moja kwa moja, mbaya zaidi kuna jamaa zangu mmoja wapo akathimulia anavyomtafuna shem wake. Nikipimia mitego nayopata na story za jamaa naona kama siku hizi imekuwa fasheni mabinti kutembea na mashem zao.

Kuweni makini sana.

Karibuni
 
Mwanamke anayejua udhaifu wa mwanaume lazima atamcontrol mdogo wake, haiwezekani dada mtu unamwangalia mdogo wako kavaa kihasara mbele ya mmeo na wewe ukiwepo. Kama hutamwambia tambua ukitoka hata kushinda na tight tu inawezekana na hapo lazima awe timu pinzani kwako
 
Mwanamke anayejua udhaifu wa mwanaume lazima atamcontrol mdogo wake, haiwezekani dada mtu unamwangalia mdogo wako kavaa kihasara mbele ya mmeo na wewe ukiwepo. Kama hutamwambia tambua ukitoka hata kushinda na tight tu inawezekana na hapo lazima awe timu pinzani kwako
 
Ushauri,
Wadada mlioolewa, wenye ndugu wa kike halafu wanaishi haya maisha ya kimjini mjini kujidai wanazo na masupastaa!!

Epuka kuishi nao nyumba moja, ni hatari kwa ndoa yako!! Hutamani yale unayopewa na mumeo basi nae apate mfano outing, mausafiri haya, mavazi, the way mnavyoishi na n.k!!

Mbaya zaidi hawatongozwi wala kutongoza bali hutumia maungo yao na mbinu za kikungwi wanazopeana wazi wazi kwenye magrupu ya watsapp!! Mumeo akichomoka hiyo mitego kapike sadaka

Ni experience ya moja kwa moja, mbaya zaidi kuna jamaa zangu mmoja wapo akathimulia anavyomtafuna shem wake. Nikipimia mitego nayopata na story za jamaa naona kama siku hizi imekuwa fasheni mabinti kutembea na mashem zao!!! Kuweni makini sana

Karibuni
Nothing but ujinga na kutojitambua !. Huwezi tembea na mume wa Dada yako nahata huyo mume naye ni pumbavu na hana akili kabisaa nakama anazo nisaa mbovu !!. Kwanza unaanzaje kumfunulia mapaja mume wadadako ??? Alafu mbaya unafunua huku ukijua hawezi kukuoa ?? Leo nakesho umepata mimba wat next ??? Yanani eti yashemeji ?? Khaaaahh ,.aya nahata ukiificha ujue ndo basi tu naww probability ya kuolewa ni 0 !!

Mie nadhani watu wajielewe tu ,, sio mdogo wadada au mume nyote mjielewe tu !.

Kuna balozi x ( Tanzania -marekan) wakati huo ,,huyu ndugu alipooa akawa amemtamu na mdogo mtu ,basi akaamua kuzaa naye pia ,,siru siri mambo hayoo pwaaaa hadharan ,, basi kwakua alikua nauwez uyu ndugu akawaoa wote wawili ,,maisha yakaenda akastaafu akarudi Tanzania,, lkn mwishoweee akaamua kubaki na make mkubwa (Dada).... Huyu mdogo akabaki na maisha yaajabu though kwamba yalikua mazuri kiasi ,, lkn ona ,, amejikuta anaishi maisha ya upweke pekee yake mpaka Leo ...Wenda naye saiz angekua analiwaza na mumewe wakiongozana ktk kusogeza miaka !!!

Value value value !!......
 
kabisa mkuu mtoa mada

kuna jamaa fulani hvi hapa kitaani kwetu ni rafiki yangu kawagegeda mashemeji zake wawili kwa nyakati tofauti
watu wamegegeda mama mkwe washindwe shemeji..mamakwe kaja na bado anaita..paja bado bichi asiliwe papuchi??wenyewe nao wanapenda ati
 
Back
Top Bottom