Ushauri kwenu kina Dada

255Gene

JF-Expert Member
Apr 8, 2017
888
1,090
Wasalaam,

Naomba nichukue fursa hii adhimu kuongea na nyinyi dada zangu.

Kwanza naomba niwape pole kwa pressure mnazozipata kutoka kwetu zinazowafanya mpaka wengine wafikie maamuzi ya kubadili mionekano yao ya mwili ilimradi kuturidhisha sisi wanaume.

Naomba niwakumbushe tu dada zangu wote wenye mawazo au wale ambao tayari aidha mmejichubua, mmeongeza makalio na wengine kuongeza matiti kwamba haya mambo yanamadhara makubwa kwenu na ni dhambi kwa Mwenyezi Mungu kuukosoa uumbaji wake na pia mnajitaftia cancer za bure huku mnaangaika kuyaridhisha macho yetu watu wanapoteza maisha kizembe kabisa kumbukeni tu hamuwezi kumtosheleza kila mtu haswa wanaume.

Tambueni tu kama mwanaume kakupenda kweli hata angalia ukubwa wa hips, kalio au matiti yako so dada zangu mwache haya mambo.
 
sisi tunataka nyuchi tu,kwanza mwanamke akishakuwa ana makorokocho kibao tunahofia hata gharama zisizo na msingi,kwanza walio natural hata radha unai`feel kwa sana.....umenena vema sana mkuu mleta uzi..
 
Kwanzaa Asante kwa kutoa pole..

Ungeanza kuongea na hao wanaume wanaoshangilia Makalio makubwa sijui na hips ingekuwa vyema..

Hawa Wenzetu huwa wanausoma upepo, wanaume wakipenda wanawake weupe basiii kila mwanamke yuko busy na mikorogo.

Wanaume ndo wangeweza kutusaidia hili bila kuwa na unafiki msishadadie hayoo.....
 
wanaume tunapenda tunachokiona ndio maana wanawake wanajichubua au wanapiga make ups au kuongeza mikalio
 
Kwanzaa Asante kwa kutoa pole..

Ungeanza kuongea na hao wanaume wanaoshangilia Makalio makubwa sijui na hips ingekuwa vyema..

Hawa Wenzetu huwa wanausoma upepo, wanaume wakipenda wanawake weupe basiii kila mwanamke yuko busy na mikorogo.

Wanaume ndo wangeweza kutusaidia hili bila kuwa na unafiki msishadadie hayoo.....
mkuu ukichunguza vizuri pia utakuta wanawake zao ni wakawaida sana ila michepuko ndo huwa tunatafuta wenye vigezo hivyo..
 
mkuu ukichunguza vizuri pia utakuta wanawake zao ni wakawaida sana ila michepuko ndo huwa tunatafuta wenye vigezo hivyo..

Asa kama mchepuko wako uko sawa na mkeo, kwa nini uchepuke. Tunatafta radha na muonekano tofauti. Ingawaje utamu wa pipi ni mate yako tu.
 
Back
Top Bottom