Zanzibar kuna Pemba na Unguja tu, tena huu UPEMBA NA UUNGUJA umeanzishwa
na Nyerere ALAIH LAANATULLAH kwa maslah yake binafsi kabla ya hapwn
havikuwepo asa na tukiamua kuviondosha ni mara 1 kama tulivofanya 2010, sasa ishu nyiny mulio na makabila zaid ya 120 na nakila moja lina sifa yake wale wa bukob sifa, wachaga wizi ilimradi mutajuana.
Pigeni kura mtuachie zogo.
Mmekalia Siasa tu,hembu fanyeni kazi mpate pesa sio upuuzi huu.
We mwenye akili Timamu hasa anasema eti Nyerere ndio kaanzisha Uunguja na Upemba,si wazim huu?
Makabila ya Tanzania yana Historia ndefu ambayo wewe huisomi badala yake utasoma habari ya Masultani tu,
Ambapo Baadhi ya Ukoo wa kisultani kama kina Bikhole walikuwa mashoga.Na wengine kuoa wake Telee na Mfano ni Barghash ambae alijenga Maruhubi Palace na kuweka mkewe na Machangudoa 100.
Na Mtoto wa Sultan Princess Salme nae aliolewa na Mkristo tena Mjerumani anaitwa Wilhelm,Kama hujui basi jengo lake lipo pale karibu na PBZ,upande wa kulia wa Old Fort.
Sasa nyie kizazi cha kufuata mkumbo mliokata Tamaa ya maisha,ndio mnaibuka eti kila kitu kibaya kwenu kimeanzishwa na Nyerere au wabara.Na kuna mmoja jana aliibuka eti Zanzibar asilimia mia ni waislam.Sasa Huyo binti yenu alieuchezea wa Mjerumani ilikuwaje.Na Ustadh Sultan Barghash iweje afuge machangudoa mia,sijui kama 0713 ilikuwa haitembei.
Na wapo wengi sana.
Acheni uvivu wa kufikiri,mtahisi mnaonewa hadi mnaingia kaburini.Maana imekuwa kama Hulka vile.
Fanya kazi tafuta pesa,achana na wanasiasa,utapoteza muda wako wa ujana Bure