Ushauri Kwa Watafuta Ajira.

Ushauri Kwa Watafuta Ajira.

Mhh mi naona hata kukomoana nako ni kwingi maana kutojua kuandika CV kunategemea yaweza kuwa kafundishwa hivi we unataka aandike kama unavojua, pia wasaili wengi wanatumia uhaba wa ajira kama fimbo ya kuwachapia watafuta kazi na kuonekana kama ni watu wasiojielewa, mi nilienda ofisi fulani HR aliyepewa kukaimu ni O level alivoiona CV yangu hakutaka hata kufanya usaili akaomba samahani naomba uendelee na shughuli zako hata hakusoma kilichomo
Word.
 
Ushauri mzuri pia nawaasa vijana kabla haujaingia kwenye interview soma techniques za appearance,body language and everything watu wanafeli sana hivi vitu vyote uki google unapata km ww ni mvivu wa kusoma vitabu.
Na pia usi offer interviewer mkono wa salamu hdi aanze yeye jamani yani dah utakuta mtu anazunguka meza nzima anaanza kutoa salamu kushika watu mikono do not do that unless they start doing that not you.

All the best interviewees!
 
Safi sana.
Nashauri vyuo vyote vya chini,kati na vinavyotoa elimu ya juu viwafundishe vijana jinsi ya kuandika C.V na barua nzuri za kikazi.
Wanachokionyesha vijana watafuta kazi kwenye mabarua ni aibu, juzi kuna kijana mpaka nikataka kumtandika konde, maana kila ukimwelekeza kakosea afanye marekebisho anabishana nasi. Alipoondoka tukaichukua barua yake tukaichana huku mwenyewe anasubiria kuitwa kwenye usaili.
Umetumia salio lako kumwita aje afanye marekebisho anakuja analeta ujuaji.
Ni wapi hapo mkuu unishitue mimi nikave gepu lake huyo anaonekana hana shida ya kupata kazi. Nishtue mkuu ata pm
 
Ni wapi hapo mkuu unishitue mimi nikave gepu lake huyo anaonekana hana shida ya kupata kazi. Nishtue mkuu ata pm
Deadline imepita wiki ya keshokutwa tutawainterview.
Umesomea nini na level ipi?
Likitokea gape takushtua.
 
MKUU WADADA WANAVAA NGUO ZA KUBANA WAPATE KAZ KIRAHS KWA WASAILI WAKWARE. BIASHARA MATANGAZO.

KUHUSU NDEVU NADHANI NDEVU ZIWE SAFI NA LEVEL SAWA NA ZISIWE KUBWA KAMA OSAMA.

KUHUSU BARUA NA CV NI KWELI MKUU KUNA WATU WANA VITUKO KAMA SYO GRADUATES.

NB: YOTE HAYA YATALETA MAANA KWENYE USAILI AMBAO NI FAIR, VINGNEVYO NI KUSUMBUANA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom