Troll JF
Platinum Member
- Feb 6, 2015
- 9,306
- 13,743
Sasa hivi Tumefikia katika kipindi ambacho kuna Graduates wengi sana katika Kila Kada hadi Urubani ambao Una Ada Kubwa Sana.
Nizungumzie Masuala Ambayo yanaweza Kukosesha Marks hasa Kwenye Oral.
Suala La Kufuga Ndevu
Siku hizi Kuna Vijana Wengi Sana Wanafuga Madevu wakifuta tamaduni za Nje Kwa Kuwaangalia Akina Rick Ross au Wengine Katika Mihangaiko yangu ya Kutafuta Kazi Sijawahi Kukutana hata Msaili mwenye Ndevu Iweje msailiwa Ufuge Ndevu Tubadilike Tujitahidi Kuondoa Ndevu Ni dalili ya Usafi. Kuzichonga Ndevu mnaita O kama wanavyofanya wasanii si Busara pia.
Kunyoa Denge/Pank/Kiduku
Graduate ambaye unategemewa Kukabidhiwa Majukumu ndani ya Ofisi za Serikali Unanyoa Kiduku tena wakati wa Usaili Si Sahihi nashauri muwe mnanyoa Low -Cut au Kipara kwa Mtu aliyeanza Kutoka Upara mapema.
Mavazi
Ni aibu kwa Kijana Unamkuta kavaa Kisuruari Kimembana hadi anashindwa Kutembea wengine wanavaa Jinsi la Suruali hili ni tatizo la Akina Dada wenye Makalio Makubwa Wanapenda sana Kuvaa Suaruali ili Kuyaonesha Hivi vitu vinaweza ku discredit Taaluma yako.
Suruali ya kitambaa na Shati hasa za Rangi moja Mi ndo huwa naona the Best.
Viatu
Kutokea na Raba Si Ustaarabu wengine nao Huwa wanaenda na Sendols kwa wanaume si Busara. Pia Niliona Dada Mmoja Amevaa Viatu Virefu (High heels) kile Kisigino Kina Urefu kama wa Futi moja Huwezi amini kama Kakivaa Mwenyewe unaweza Kusema Kapandishwa Hapo Be simple na Viatu visivyo na mbwembwe kama A secondary School Girl
Nizungumzie Masuala Ambayo yanaweza Kukosesha Marks hasa Kwenye Oral.
Suala La Kufuga Ndevu
Siku hizi Kuna Vijana Wengi Sana Wanafuga Madevu wakifuta tamaduni za Nje Kwa Kuwaangalia Akina Rick Ross au Wengine Katika Mihangaiko yangu ya Kutafuta Kazi Sijawahi Kukutana hata Msaili mwenye Ndevu Iweje msailiwa Ufuge Ndevu Tubadilike Tujitahidi Kuondoa Ndevu Ni dalili ya Usafi. Kuzichonga Ndevu mnaita O kama wanavyofanya wasanii si Busara pia.
Kunyoa Denge/Pank/Kiduku
Graduate ambaye unategemewa Kukabidhiwa Majukumu ndani ya Ofisi za Serikali Unanyoa Kiduku tena wakati wa Usaili Si Sahihi nashauri muwe mnanyoa Low -Cut au Kipara kwa Mtu aliyeanza Kutoka Upara mapema.
Mavazi
Ni aibu kwa Kijana Unamkuta kavaa Kisuruari Kimembana hadi anashindwa Kutembea wengine wanavaa Jinsi la Suruali hili ni tatizo la Akina Dada wenye Makalio Makubwa Wanapenda sana Kuvaa Suaruali ili Kuyaonesha Hivi vitu vinaweza ku discredit Taaluma yako.
Suruali ya kitambaa na Shati hasa za Rangi moja Mi ndo huwa naona the Best.
Viatu
Kutokea na Raba Si Ustaarabu wengine nao Huwa wanaenda na Sendols kwa wanaume si Busara. Pia Niliona Dada Mmoja Amevaa Viatu Virefu (High heels) kile Kisigino Kina Urefu kama wa Futi moja Huwezi amini kama Kakivaa Mwenyewe unaweza Kusema Kapandishwa Hapo Be simple na Viatu visivyo na mbwembwe kama A secondary School Girl