Wataalam wote ambao wengi ni graduates wa vyuo vikuu ukitaka nafasi za JW bora uanzie JKT ambapo kila mwaka JKT huchukua kuruta kati ya mwezi januari na feb,tofauti na kukaa na kusubiria ajira za "wataalam"JW kwa sasa watalaam wengi wanaanzia JKT wapo graduate wapo JKT sasa na baadaye wataendelea na JW.
Kila la heri vijana wenzangu mwakani mkajiunge jkt mapema na MUNGU awaongoze,
Kila la heri vijana wenzangu mwakani mkajiunge jkt mapema na MUNGU awaongoze,