GEITA FARM
JF-Expert Member
- Dec 22, 2015
- 336
- 173
Ndugu Watanzania na wazalendo wa nchi hii napenda kutoa ushauri kwa viongozi wa CHADEMA. Jeshi la Polisi limejipanga kukabiliana na kuzuia maandamano ya 1/09/2016. Siku ya leo 22/08/2016 magari ya Jeshi la Polisi zaidi ya kumi na sita yamezunguka jijini Mwanza akina mama na wazee walikuwa wakilia ovyo wakidhania vita imeanza.
Kwa mazoezi ya leo ya Jeshi la Polisi na urushwaji wa ndege za kivita juu ya anga yamezua taharuki kwa wakazi wa jijini Mwanza. Napenda kutoa ushauri kwa viongozi wa CHADEMA waandae vilevi vikali waandamanaji watumie kabla ya maadamano. Kwa jinsi wanamwanza walivyojionea sidhani kama mtu mwenye akili timamu ataingia barabarani kuandamana.
Kwa mazoezi ya leo ya Jeshi la Polisi na urushwaji wa ndege za kivita juu ya anga yamezua taharuki kwa wakazi wa jijini Mwanza. Napenda kutoa ushauri kwa viongozi wa CHADEMA waandae vilevi vikali waandamanaji watumie kabla ya maadamano. Kwa jinsi wanamwanza walivyojionea sidhani kama mtu mwenye akili timamu ataingia barabarani kuandamana.