Ushauri kwa vijana wenzangu.

Chadema 2030

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
1,920
Reaction score
3,753
Usisikilize ambao ndoa imewapiga chenga.watakushawishi usioe kwa kuwa ndoa ngumu na utateseka. kiukwel ndoa n nzur nainategemea na bahat unaweza pata mzuri au m baya. ila kiukwel tusiige kwa waliofel tujarib kwa waliofaulu.
 
Minaona tuachane na hizi mambo, kila mtu atastuka kwa wakatiwake....πŸ™„
 
Zungumzia kuolewa ili uwashauri wanawake wenzio, hatutaki kampeni saivi.
 
Sheria nambari uno. Usimshauri mtu ambaye ajakuomba ushauri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…