USHAURI KWA VIJANA WANAOFANYA TRANSFER ZA VYUO

USHAURI KWA VIJANA WANAOFANYA TRANSFER ZA VYUO

Joined
Oct 29, 2016
Posts
19
Reaction score
8
Hii ni kwa wote iwe ndani ya chuo au kati ya Chuo..baada kumeet zile criteria zote za kufanya transfer,ni muhimu kuhakikisha programme unayohamia ina kiwango cha ada sawa na ile unayohama sababu kama ada ziko tofauti hua kuna usumbufu mkubwa sana wa kuhamisha mkopo..otherwise swala la kuhamisha mkopo sio case kubwa sana.NAJUA NACHOONGEA.
 
Hii ni kwa wote iwe ndani ya chuo au kati ya Chuo..baada kumeet zile criteria zote za kufanya transfer,ni muhimu kuhakikisha programme unayohamia ina kiwango cha ada sawa na ile unayohama sababu kama ada ziko tofauti hua kuna usumbufu mkubwa sana wa kuhamisha mkopo..otherwise swala la kuhamisha mkopo sio case kubwa sana.NAJUA NACHOONGEA.
majibu ya tranfer ya mkopo vp Vuka Mphefumulo?? kama unayo muongozo wowote ama chchte kuhusiana na taarifa za kuamishwa mkopo naomba utufaamishe tafadhali
 
Back
Top Bottom