Ndugu zangu wapenda mapinduzi kwa ushauri wa bure fanyeni hivi, Wenyekiti wote wa vyama vya upinzani warudi bungeni kwa kugombea ubunge kupitia majimbo ya uchaguzi.
Kuna ulazima wa kuimarisha nguvu bungeni.Tunaomba Lipumba, Slaa, Mbowe, Mbatia, Zitto nk warudi bungeni kama wawakilishi.