Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,111
- 2,411
Kwa wale wa Njombe, Mbeya, Iringa, Arusha na ndugu zao ambao kiasili ni maeneo ya baridi bila shaka mtakubaliana nami kuwa msimu huu hali imekuwa mbaya kweli, mablanketi hayafui dafu.
Sasa kuna hii mbinu, pasha maji (siyo lazima yachemke km ya ugali), weka kwenye chupa za maji (hizi za plastic), funika vizuri, futa kwa kitambaa vizuri (kwa nje) ili kuhakikisha haina unyevu kisha weka kitandani kwenye shuka, unaweza kuwa na chupa mbili, tatu... inasaidia sana kutia joto kitandani hasa kwa wale wenye watoto wachanga, nilijaribu hii njia kupasha miguu na joto linadumu kwa muda mrefu sana.
Wale wa Dar na mikoa ya Pwani haiwahusu hii
Sasa kuna hii mbinu, pasha maji (siyo lazima yachemke km ya ugali), weka kwenye chupa za maji (hizi za plastic), funika vizuri, futa kwa kitambaa vizuri (kwa nje) ili kuhakikisha haina unyevu kisha weka kitandani kwenye shuka, unaweza kuwa na chupa mbili, tatu... inasaidia sana kutia joto kitandani hasa kwa wale wenye watoto wachanga, nilijaribu hii njia kupasha miguu na joto linadumu kwa muda mrefu sana.
Wale wa Dar na mikoa ya Pwani haiwahusu hii

changamoto yoyote ile inapanua uwezo wa kufikiri kuitatua.