Watanzania wengi ni mafisadi kuanzia kifikra, kupokea vijisenti kwenye kampeni na hata kuomba rushwa kwa nguvu. Hii ni kuanzia ngazi ya chini hadi juu, kwa hiyo toa kwanza Boriti kwenye jicho lako ndio uone Kibanzi kwenye jicho la mwenzio. Je yupo awezaye kuwa wa kwanza kumpiga mwingine JIWE? Sote tukatubu tuombe Mungu kutuondolea hilo pepo kweye nchi yetu tuanze ufuasi mzuri upya.