Nenda insta kwenye akaunti yake kisha uweke original ID yako na picha kisha umpe huo ushauri wako, baada ya mda tu sie huku JF tutajua tu warumi ni nani na elimu yako na vituko vyako vyote... Waulize wenzio.. Mange aliacha kazi bank ili afanye hii anayofanya na ndo chaguo lake... Kamuulize lemutuz