Uthubutu wake,ukweli wake(hata kama mda mwingine unakuwa umbea)ndio tofauti kubwa kati yako na mange,ni heri kupata kina mange kumi katika tanzania yetu,kuliko kuwa na watu Mia au elfu,wanafiki na wanao penda kufukia uovu usijulikane,msema kweli ni mpenzi wa mungu...