ester bulaya wakati anahojiwa na TBC alikua akitamka neno TILIONI badala ya TRILIONI, mara ya kwanza nikadhani ulimi tu umeteleza lakini akawa anarudiarudia.
wakati naandika post hii lusinde nae akaohijiwa, huyu bwana mdogo haishiwi kero, nao TBC wanamuhoji lusinde kuhusu hotuba wakitegemea kupata kitu kweli? anyways, alipotakiwa atoe maoni yake kuhusu budget aliisifia, akasema hii ni budget nzuri sana sana, itaongeza kipato cha watu wa dodoma, alipoulizwa kuhusu ongezeko la kodi kwenye muda wa maongezi wa simu alisema, namnukuu 'mimi mbunge nina line moja wewe mama ntilie una line nne za nini?'
wakati naandika post hii lusinde nae akaohijiwa, huyu bwana mdogo haishiwi kero, nao TBC wanamuhoji lusinde kuhusu hotuba wakitegemea kupata kitu kweli? anyways, alipotakiwa atoe maoni yake kuhusu budget aliisifia, akasema hii ni budget nzuri sana sana, itaongeza kipato cha watu wa dodoma, alipoulizwa kuhusu ongezeko la kodi kwenye muda wa maongezi wa simu alisema, namnukuu 'mimi mbunge nina line moja wewe mama ntilie una line nne za nini?'