dini yetu inatutaka kusoma quran na kuiweka kichwani na kuwalazimisha watoto wetu kufanya hivyo kwani Mwenyezi Mungu alishajua kuwa zama za mwisho vitabu vitavamiwa, watu watabadilisha baadhi ya aya as quran kwa manufaa Yao binafsi, hapo kama quran haipo kichwani utaweza kubabaika lkn kama ulibahatika kuisoma na kuihifadhi kichwani huwezi kubabaika. Na Allah anajua zaidi