Ushauri kwa ambao mtachagua course za Computer.

Ushauri kwa ambao mtachagua course za Computer.

Techguy

Member
Joined
Jul 15, 2018
Posts
57
Reaction score
41
Habarini, nimeona nitoe ushauri kwa ndugu ambao wanapenda kujiunga na courses mbalimbali za Computer, hapa namaanisha Computer Science, Information Technology, Computer Engineering na ambazo zinaendana.

1. Kwa uzoefu wangu, nimesoma vyuo tofauti...Hizi courses zinahitaji kujituma binafsi sana na sio kutegemea vitu vya class. Swala la kwamba utasomea chuo gani sio muhimu sana , ni lazima upractice vile vitu unavyofundishwa kwa vitendo , pia jaribu kucheki additional tutorials online kama YouTube ili uweze kuongeza knowledge.

2. Ni vizuri ukawa unafanya small projects kwa kutumia laptop yako taratibu , kama kutengeneza website ndogo n.k... Hii itakusaidia kuwa mzuri pale utakapomaliza, wengi wanaomaliza katika hii field ya ICT hawawezi kufanya vitu kwa vitendo kwani mfumo wa vyuo vingi hauko practical oriented zaidi.

3. Ukiwa na idea jaribu kushirikisha wenzio, kutokana na hiyo idea unaweza kutengeneza kitu kizuri zaidi kama ukipata mchango wa watu wa karibu, usiwe mtu kujifungia na laptop.

Kama utahitaji ushauri zaidi, nicheki inbox tuweze kusaidiana, iwe unataka kusoma level ya certificate, diploma, bachelor au masters.
 
Mimi nimesoma course moja hivi nataka kuachana nayo nataka kuingia kwenye masuala ya computer tu
Habarini, nimeona nitoe ushauri kwa ndugu ambao wanapenda kujiunga na courses mbalimbali za Computer, hapa namaanisha Computer Science, Information Technology, Computer Engineering na ambazo zinaendana.

1. Kwa uzoefu wangu, nimesoma vyuo tofauti...Hizi courses zinahitaji kujituma binafsi sana na sio kutegemea vitu vya class. Swala la kwamba utasomea chuo gani sio muhimu sana , ni lazima upractice vile vitu unavyofundishwa kwa vitendo , pia jaribu kucheki additional tutorials online kama YouTube ili uweze kuongeza knowledge.

2. Ni vizuri ukawa unafanya small projects kwa kutumia laptop yako taratibu , kama kutengeneza website ndogo n.k... Hii itakusaidia kuwa mzuri pale utakapomaliza, wengi wanaomaliza katika hii field ya ICT hawawezi kufanya vitu kwa vitendo kwani mfumo wa vyuo vingi hauko practical oriented zaidi.

3. Ukiwa na idea jaribu kushirikisha wenzio, kutokana na hiyo idea unaweza kutengeneza kitu kizuri zaidi kama ukipata mchango wa watu wa karibu, usiwe mtu kujifungia na laptop.

Kama utahitaji ushauri zaidi, nicheki inbox tuweze kusaidiana, iwe unataka kusoma level ya certificate, diploma, bachelor au masters.
 
Mkuu kwanza nikushukuru kwa kuleta uzi huu. Mimi binafsi napenda kujifunza mwenyewe kwa kuanzia nataka niweze kudesign websites/blogs (sijui ndo kitu kimoja) lakini pia niweze kutengeneza Apps. Hivi nikiwa sijui chochote na sina Computer, Je naweza kujifunzia smartphone yangu nikafanikiwa au mpaka nipate PC ndo nianze. Kama inawezekana Je, nianzie wapi kujifunza haya madude?
 
Bila computer huwezi maana lazima upractice bila hivyo HAIWEZEKANI
Mkuu kwanza nikushukuru kwa kuleta uzi huu. Mimi binafsi napenda kujifunza mwenyewe kwa kuanzia nataka niweze kudesign websites/blogs (sijui ndo kitu kimoja) lakini pia niweze kutengeneza Apps. Hivi nikiwa sijui chochote na sina Computer, Je naweza kujifunzia smartphone yangu nikafanikiwa au mpaka nipate PC ndo nianze. Kama inawezekana Je, nianzie wapi kujifunza haya madude?
 
Back
Top Bottom