Ushauri kununua kiwanja

babkaju3

Senior Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
118
Reaction score
94
Habari wa jamii, nataka kununua kiwanja na ndio mara yangu ya kwanza na nilikuwa naomba kwa wenye uzoefu wa biashara izo wanishaur ni njia zipi naweza kupitia ili nisije jikuta tumeuziwa wawili na kutengeneza mgogoro natumain mtanisaidia niko Dar.

Asanteni
 
nenda wizarani temeke unaweza kupata vya serikali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…