Nashukuru wote mlionipa ushauri hapa na pia kupitia PM.
Kwa wale mlionipa ushauri hapa:
Ndugu Lucasogutu na alikhalef, shughuli zangu nafanyia Dodoma, Iringa, Morogoro na Manyara.
Kuhusu mtandao wa wireless internet (3G) nimeshajaribu mitandao ya Voda, Zantel na airtel yote ni shida tupu hasa kati ya saa 4 asubuhi hadi saa 1 jioni.
Ndo maana nikafikiria kutoka nje ya hiyo ndoa.
Asanteni.