PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 9,384
- 30,874
Kila la kheri boss!!!!!!!Toyota brand kwenye hizi baby walker labda starlet turbo kidogo ndo itanibariki mkuu.
Kila la kheri boss!!!!!!!Toyota brand kwenye hizi baby walker labda starlet turbo kidogo ndo itanibariki mkuu.
2016 nimekatumia sana,Ni kagari kazuri kalikujaga kuzingua clutch plate(Nilikua mkoani huko).Ilibidi niagize Arusha kwa denso(time+gharama),BTW hata denso mwenyewe alikua hana aliagiza Nairobi.Mini Cooper kipengele kwenye spea(Bei) ila ni gari nzuri.
Mkuu tatizo sio brand angalia mfuko wako kwenye spea utaweza kumudu
Wa Tanzania sio kama wanapenda kuishi kama wanafunzi wa shule kuvaa sare hapana
Asilimia kubwa uchumi wetu unalingana
Ila ndio hivyo hatupendi kusema ukweli tu
Unaweza ukanunua Toyota na Bado ika paki ndani
So be careful na angalia mfuko wako
Tena zingatia unataka mkononi kwa MTU
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Zipo nyingi za mlango mitano bossChukua vitz clavia ina engine ya 1Nz kama ya IST katakufaa ni kagumu kuliko vitz zingine yatizo kana milango miwili na buti
Hamna nzuri. Usizuzuke na bei. Fanya machaguo mengine tena,leta tutakushauri.Baada ya kujichanga changa hapa nimeona nivute chuma. Lakini siyo mpya nataka ninunue mkononi kwa mtu. Nilikua naomba ushauri wa gari zifuatazo kwa maana naona zinauzwa bei ndogo nikatia shaka:
1)Mazda, hapa nazungumzia Demio na Tribute
2)Mitsubishi mini
3)BMW mini Cooper
4)Honda fit
Je, kati ya hizi gari ipi ni nzuri kwa town trip na upatikanaji wa spares zake ukoje?
Hamna nzuri. Usizuzuke na bei. Fanya machaguo mengine tena,leta tutakushauri.Baada ya kujichanga changa hapa nimeona nivute chuma. Lakini siyo mpya nataka ninunue mkononi kwa mtu. Nilikua naomba ushauri wa gari zifuatazo kwa maana naona zinauzwa bei ndogo nikatia shaka:
1)Mazda, hapa nazungumzia Demio na Tribute
2)Mitsubishi mini
3)BMW mini Cooper
4)Honda fit
Je, kati ya hizi gari ipi ni nzuri kwa town trip na upatikanaji wa spares zake ukoje?
Gari nzuri kwa wa Tanzania bado haijatengenezwa duniani.Hamna nzuri. Usizuzuke na bei. Fanya machaguo mengine tena,leta tutakushauri.