Ushauri kuhusu magari

Mini Cooper kipengele kwenye spea(Bei) ila ni gari nzuri.
2016 nimekatumia sana,Ni kagari kazuri kalikujaga kuzingua clutch plate(Nilikua mkoani huko).Ilibidi niagize Arusha kwa denso(time+gharama),BTW hata denso mwenyewe alikua hana aliagiza Nairobi.

Ni Gari poa lkn uwe kwny miji mikubwa/majiji.
 
Mkuu tatizo sio brand angalia mfuko wako kwenye spea utaweza kumudu

Wa Tanzania sio kama wanapenda kuishi kama wanafunzi wa shule kuvaa sare hapana
Asilimia kubwa uchumi wetu unalingana
Ila ndio hivyo hatupendi kusema ukweli tu

Unaweza ukanunua Toyota na Bado ika paki ndani
So be careful na angalia mfuko wako

Tena zingatia unataka mkononi kwa MTU

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Awe makini. Hata Ulaya na Marekani na Ulaya kuna brands zinajulikana kuwa siyo reliable kama nyingine na nyingine lazima uwe na pesa kuzimantain
 
Baada ya kujichanga changa hapa nimeona nivute chuma. Lakini siyo mpya nataka ninunue mkononi kwa mtu. Nilikua naomba ushauri wa gari zifuatazo kwa maana naona zinauzwa bei ndogo nikatia shaka:
1)Mazda, hapa nazungumzia Demio na Tribute
2)Mitsubishi mini
3)BMW mini Cooper
4)Honda fit
Je, kati ya hizi gari ipi ni nzuri kwa town trip na upatikanaji wa spares zake ukoje?
Hamna nzuri. Usizuzuke na bei. Fanya machaguo mengine tena,leta tutakushauri.
 
Baada ya kujichanga changa hapa nimeona nivute chuma. Lakini siyo mpya nataka ninunue mkononi kwa mtu. Nilikua naomba ushauri wa gari zifuatazo kwa maana naona zinauzwa bei ndogo nikatia shaka:
1)Mazda, hapa nazungumzia Demio na Tribute
2)Mitsubishi mini
3)BMW mini Cooper
4)Honda fit
Je, kati ya hizi gari ipi ni nzuri kwa town trip na upatikanaji wa spares zake ukoje?
Hamna nzuri. Usizuzuke na bei. Fanya machaguo mengine tena,leta tutakushauri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom