Ushauri kuhusu mabinti wawili nilio nao kwenye mahusiano

Mpige chini huyo wa kwanza, tengeneza maisha yako mzee wangu. Na bila uchumi bora huwezi kutengeneza maisha yako.
 
Wakuu habarini za asubuhi.

Kama kijielezavyo kichwa cha habari hapo juu, hekima zenu zinahitajika kutoa ushauri juu ya jambo naloenda lielezea hapa chini.

Mathalan una mchumba na umekwishamtolea barua na ushaanza mlipia mahari lakini siku zijazo ukakutana na binti mwenye sifa kuliko mchumba uliyemtolea barua.

Na huyo binti akakupenda akawa radhi kuolewa hata mke wa pili au wa tatu, pia kwa uwezo aliokuwa nao ni binti aliyeonesha willing ya kukusapoti katika harakati zako za kibiashara na akaanza kufanya hivyo kwa kuwekeza fedha zake kwako na akawa yuko willing kukupa uongoze anavyomiliki.

- Binti wa pili uliyekutana nae sifa zake ni uzuri, familia yenye nguvu kiuchumi, yeye mwenyewe ana nguvu kiuchumi pia yuko romantic kupitiliza. Ila kiumri amekuzidi kama miaka miwili. Kasoro zake ni anadeka sana na yuko sensitive sana kitu kidogo analia, pia mkigombana hachelewi kujaribu kujiua yani ana maamuzi ya kujiumiza.

- Na kwa yule binti unayetarajia kumuoa uliyemposa ni mzuri pia, uchumi hana yeye wala familia yake, ni mdogo sana kiumri kwako yani ni teenager (miaka 19) pia hata kimaamuzi ni mdogo/mtoto.
Kasoro zake ana maamuzi ya kukurupuka, ana mihemko sana, mropokaji pia ana hasira kupitiliza.
Kwa wewe utachukua uamuzi upi? Je, utaendelea na mbachao ama utafuata mswala upitao uufanye mbachao!?

Na ukizingatia bado miezi mitano ndoa yako na uliyemposa ifanyike.

Na uliyekutana nae licha ya kujua una mtu tena umemwambia una mke kabisa yeye ameridhia kuwa mke wa pili.
me pia nipo kwenye hali kama ya kwako mkuu........kuna binti mzuri kiukweli ana miaka 20[ninamzidi kama miaka 5] kwa sasa ila ananipenda sana na yupo radhi afanye chochote ili tu kunifurahisha
ana mambo ya kitoto kidogo kwa mfano hawezi kukushauri jambo lolote la kimaisha zaidi akili yake ime-base kwenye sex tu na kuwaza mambo mengi kuhusu kuoana

ila kuna pisi nyingine ni mwalimu wa secondary na inanipenda kuliko maelezo ananisaidia mambo mengi sana,jana katoka kunilipia ada ya masomo ili niendelee na masomo.......kiukweli ni mtu anaye nipa kampani sana kwenye harakati zangu za kimaisha na kamwe hawezi kuniona nasononeka kivyovyote vile........bado sijamwambia kuwa alinikuta na mahusiano mengine ila ashanifumania nachat na kale kabint aliumia sana,akanambia nifanye yote ila nisijaribu kumuacha


kiukweli nipo njia panda kama ya kwako
 
mkuu inaelekea kampeni za mental health is real huwa hutokei kabisa
Huyo wa kwanza kama kaanza kusumbua nje ya ndoa atakuja kusumbua zaidi akiwa ndani, apigwe tu chini, akijiua kisa mapenzi shauri lake sasa.
 
me pia nipo kwenye hali kama ya kwako mkuu........kuna binti mzuri kiukweli ana miaka 20[ninamzidi kama miaka 5] kwa sasa ila ananipenda sana na yupo radhi afanye chochote ili tu kunifurahisha
ana mambo ya kitoto kidogo kwa mfano hawezi kukushauri jambo lolote la kimaisha zaidi akili yake ime-base kwenye sex tu na kuwaza mambo mengi kuhusu kuoana

ila kuna pisi nyingine ni mwalimu wa secondary na inanipenda kuliko maelezo ananisaidia mambo mengi sana,jana katoka kunilipia ada ya masomo ili niendelee na masomo.......kiukweli ni mtu anaye nipa kampani sana kwenye harakati zangu za kimaisha na kamwe hawezi kuniona nasononeka kivyovyote vile........bado sijamwambia kuwa alinikuta na mahusiano mengine ila ashanifumania nachat na kale kabint aliumia sana,akanambia nifanye yote ila nisijaribu kumuacha


kiukweli nipo njia panda kama ya kwako
Wazee fanyeni maisha jamani, mapenzi yapo tu, mnaleta hisia kwenye utafutaji naona, pigini chini hivyo vitoto visivyo na hela, vitakuja kuwakimbia wakikutana na sisi mafogo, shauri zenu.
 
Wakuu habarini za asubuhi.

Kama kijielezavyo kichwa cha habari hapo juu, hekima zenu zinahitajika kutoa ushauri juu ya jambo naloenda lielezea hapa chini.

Mathalan una mchumba na umekwishamtolea barua na ushaanza mlipia mahari lakini siku zijazo ukakutana na binti mwenye sifa kuliko mchumba uliyemtolea barua.

Na huyo binti akakupenda akawa radhi kuolewa hata mke wa pili au wa tatu, pia kwa uwezo aliokuwa nao ni binti aliyeonesha willing ya kukusapoti katika harakati zako za kibiashara na akaanza kufanya hivyo kwa kuwekeza fedha zake kwako na akawa yuko willing kukupa uongoze anavyomiliki.

- Binti wa pili uliyekutana nae sifa zake ni uzuri, familia yenye nguvu kiuchumi, yeye mwenyewe ana nguvu kiuchumi pia yuko romantic kupitiliza. Ila kiumri amekuzidi kama miaka miwili. Kasoro zake ni anadeka sana na yuko sensitive sana kitu kidogo analia, pia mkigombana hachelewi kujaribu kujiua yani ana maamuzi ya kujiumiza.

- Na kwa yule binti unayetarajia kumuoa uliyemposa ni mzuri pia, uchumi hana yeye wala familia yake, ni mdogo sana kiumri kwako yani ni teenager (miaka 19) pia hata kimaamuzi ni mdogo/mtoto.
Kasoro zake ana maamuzi ya kukurupuka, ana mihemko sana, mropokaji pia ana hasira kupitiliza.
Kwa wewe utachukua uamuzi upi? Je, utaendelea na mbachao ama utafuata mswala upitao uufanye mbachao!?

Na ukizingatia bado miezi mitano ndoa yako na uliyemposa ifanyike.

Na uliyekutana nae licha ya kujua una mtu tena umemwambia una mke kabisa yeye ameridhia kuwa mke wa pili.
Piga Chini wote hakuna wake hapo
 
Fanya utakalo mkuu, mana tayari una maamuzi yako na huwezi kukubali kushauriwa tofauti na unavyotaka.
Hamna kaka ushauri lazima.
Unapokusanya shauri ndipo unapata wasaa wa kuchanganua maamuzi yako kwa upana.
 
Mke ni mtu ambaye unaweza kuishi naye maisha yako yote. Ni mama wa wanao, sasa usiangalie matatizo ya kiuchumi uliyonayo leo ndio yakakupa sifa za mke. Hakikisha mwanamke unayetaka kumuoa ana sifa za msingi unazohitaji maishani mwako. Usiangalie kalio, chuchu saa sita au uchumi. Hizo ni sifa za muda mfupi.
 
Wakuu habarini za asubuhi.

Kama kijielezavyo kichwa cha habari hapo juu, hekima zenu zinahitajika kutoa ushauri juu ya jambo naloenda lielezea hapa chini.

Mathalan una mchumba na umekwishamtolea barua na ushaanza mlipia mahari lakini siku zijazo ukakutana na binti mwenye sifa kuliko mchumba uliyemtolea barua.

Na huyo binti akakupenda akawa radhi kuolewa hata mke wa pili au wa tatu, pia kwa uwezo aliokuwa nao ni binti aliyeonesha willing ya kukusapoti katika harakati zako za kibiashara na akaanza kufanya hivyo kwa kuwekeza fedha zake kwako na akawa yuko willing kukupa uongoze anavyomiliki.

- Binti wa pili uliyekutana nae sifa zake ni uzuri, familia yenye nguvu kiuchumi, yeye mwenyewe ana nguvu kiuchumi pia yuko romantic kupitiliza. Ila kiumri amekuzidi kama miaka miwili. Kasoro zake ni anadeka sana na yuko sensitive sana kitu kidogo analia, pia mkigombana hachelewi kujaribu kujiua yani ana maamuzi ya kujiumiza.

- Na kwa yule binti unayetarajia kumuoa uliyemposa ni mzuri pia, uchumi hana yeye wala familia yake, ni mdogo sana kiumri kwako yani ni teenager (miaka 19) pia hata kimaamuzi ni mdogo/mtoto.
Kasoro zake ana maamuzi ya kukurupuka, ana mihemko sana, mropokaji pia ana hasira kupitiliza.
Kwa wewe utachukua uamuzi upi? Je, utaendelea na mbachao ama utafuata mswala upitao uufanye mbachao!?

Na ukizingatia bado miezi mitano ndoa yako na uliyemposa ifanyike.

Na uliyekutana nae licha ya kujua una mtu tena umemwambia una mke kabisa yeye ameridhia kuwa mke wa pili.
Mkuu wanawake wazuri wapo tena wenye sifa nzuri kikibwa uridhike tu na ulie nae.
 
Aliyeposwa ndio wakwanza.
Unamaanisha wapili apigwe chini?
Na huyo binti akakupenda akawa radhi kuolewa hata mke wa pili au wa tatu, pia kwa uwezo aliokuwa nao ni binti aliyeonesha willing ya kukusapoti katika harakati zako za kibiashara na akaanza kufanya hivyo kwa kuwekeza fedha zake kwako na akawa yuko willing kukupa uongoze anavyomiliki.
Namzungumzia huyu hapa
 
Nilikuwa na situation kama hiyo,wakwanza mtoto mdogo Hana elimu kubwa.wapili tumegraduate pamoja na baada ya kumaliza tu akapata kazi bank na kwako yupo njema tu, Ila nilichagua furaha zaidi nikaoa wakwanza ambaye Hana kitu naenjoy now na amenizalia mapacha
 
Mi sio mtaalamu, ila nashauri ridhika na ulienaye. Hao kila siku wanakujaga wapya.

Huyo wa pili alikua wp wakati ww unatafuta jiko, atulize komwe au aende love connect kutafuta bwana.

Siku ya harusi utaona vyombo vitakavyokuja. Utatamani siku zirudi nyuma.
ushauri bora kabisa

jamaa aridhike tu, kila siku atakutana na wazuri
na siyo lazima wazuri wote wawe wake
 
Back
Top Bottom