Ushauri kuhusu kufungua duka la simu

king pierre

Member
May 30, 2016
82
28
Wadau naomba mwenye idea na biashara ya duka la simu anisaidie namna bora ya kuifanya pamoja na changamoto zake.Natanguliza shukran zangu.
 
biashara ya simu inategemea na utekelezaji wa bishara yako ya simu kama ifuatavyo
1.mzigo unanunua mwenyewe toka nje au unanunua hapahapa
2.aina simu unazouza no original tu au ni mchnaganyiko au ni simu copy
3. wateja gani unaenda kuwauzia yani maeneo ya biashara mana ukiuza poster na kkoo ni sehemu tofauti ya wateja
4.vipi return za simu unaponunua wanazipokea?
5.muuzaji ni wewe mwenyewe au unamuoka mtu?
ukishaweka vitu hivyo katika wazi naweza kukusaidia.
 
Ok ni hvi mkuu
1. mzgo ntakua nanunua hapa hapa nchini sanasna dsm-kariakoo
2.nataka kuuza cm original tu(japo cna utaalam wa kutofautsha na copy)
3.Natarajia kuuza mikoani, kama dodoma, shinyanga.
4.Ndio inaonekana watu wanazikubali zaidi cmu original maeneo haya
5. Ntauza mimi kwa mda wa mwez m1 then ntaweka mtu.
Nashukuru mkuu kwa ushirikiano.
 
bai kama ni hivyo biashara haitakusumbua kabisa ila changamoto itakuja kwenye return ila usikubali kuuza simu ambayo return itarudi kwako return irudi kwa kampuni mfano kama tecno ukishamuuzia mteja simu ikipata matatizo mteja mwenyewe ndio anaenda kwenye ofisi za tecno na kuhudumiwa huko wewe haikuhusu
kitu kingine unaetarajia kumuweka dukani ujaribu kufanya nae mkataba wa kutumia akili usicshangae mwisho wa mwezi unapiga hesabu ukawa maefaidika yeye tu yani muekee mshahara kulingana na mauzo yake yani unaweza kumwambia kila simu atakayouza ya kwake ni 5000 na mwisho wa mwezi unampigia hesabu ameuza simu ngapi na unazidisha kwa 5000 kisha unampa chake
pia kama utauza original ujitahidi na mtaji wa kutosha na ujitahidi mzigo usikauke dukani na uwe unatoa vitu vidogo vidogo free kwa mteja anaenunua simu kama protector n.k
 
Nashukuru mkuu but shida nnayoina ni jnsi ya kupata mzigo ulio bora bila uchakuaji na kwa bei ya uhalisia pia cjajua vzur izo nshu za return mkuu
bai kama ni hivyo biashara haitakusumbua kabisa ila changamoto itakuja kwenye return ila usikubali kuuza simu ambayo return itarudi kwako return irudi kwa kampuni mfano kama tecno ukishamuuzia mteja simu ikipata matatizo mteja mwenyewe ndio anaenda kwenye ofisi za tecno na kuhudumiwa huko wewe haikuhusu
kitu kingine unaetarajia kumuweka dukani ujaribu kufanya nae mkataba wa kutumia akili usicshangae mwisho wa mwezi unapiga hesabu ukawa maefaidika yeye tu yani muekee mshahara kulingana na mauzo yake yani unaweza kumwambia kila simu atakayouza ya kwake ni 5000 na mwisho wa mwezi unampigia hesabu ameuza simu ngapi na unazidisha kwa 5000 kisha unampa chake
pia kama utauza original ujitahidi na mtaji wa kutosha na ujitahidi mzigo usikauke dukani na uwe unatoa vitu vidogo vidogo free kwa mteja anaenunua simu kama protector n.k

bai kama ni hivyo biashara haitakusumbua kabisa ila changamoto itakuja kwenye return ila usikubali kuuza simu ambayo return itarudi kwako return irudi kwa kampuni mfano kama tecno ukishamuuzia mteja simu ikipata matatizo mteja mwenyewe ndio anaenda kwenye ofisi za tecno na kuhudumiwa huko wewe haikuhusu
kitu kingine unaetarajia kumuweka dukani ujaribu kufanya nae mkataba wa kutumia akili usicshangae mwisho wa mwezi unapiga hesabu ukawa maefaidika yeye tu yani muekee mshahara kulingana na mauzo yake yani unaweza kumwambia kila simu atakayouza ya kwake ni 5000 na mwisho wa mwezi unampigia hesabu ameuza simu ngapi na unazidisha kwa 5000 kisha unampa chake
pia kama utauza original ujitahidi na mtaji wa kutosha na ujitahidi mzigo usikauke dukani na uwe unatoa vitu vidogo vidogo free kwa mteja anaenunua simu kama protector n.k
 
kuna jamaa wengi hapo mjini ila mpigie huyu muarabu anaduka la simu anakua anauza jumla 0719920209 atakuelekeza kila kitu
 
Hongera mkuu ila location ni jambo la kuzingatia sana unapoanzisha biashara hiyo. Hakikisha unapata eneo ambalo maduka ya simu yamefutana,usithubutu kujitenga na wenzako hiyo ndio sumu ya biashara hiyo. Kuhusu kupata mzigo wa kuaminika,wauzaji wengi wa simu za jumla pale aggrey ni waaminifu kama kitu ni kopy utaambiwa kama original unawekwa wazi. Ushauri wangu ni vizuri ukaenda na mtu ambaye anaijua biashara hiyo vizuri vinginevyo utapigwa kwenye bei,mwisho jitahidi kuweka na accessories dukan kwako,zinalipa sana wakati mwingine kuliko hata simu
 
Hongera mkuu ila location ni jambo la kuzingatia sana unapoanzisha biashara hiyo. Hakikisha unapata eneo ambalo maduka ya simu yamefutana,usithubutu kujitenga na wenzako hiyo ndio sumu ya biashara hiyo. Kuhusu kupata mzigo wa kuaminika,wauzaji wengi wa simu za jumla pale aggrey ni waaminifu kama kitu ni kopy utaambiwa kama original unawekwa wazi. Ushauri wangu ni vizuri ukaenda na mtu ambaye anaijua biashara hiyo vizuri vinginevyo utapigwa kwenye bei,mwisho jitahidi kuweka na accessories dukan kwako,zinalipa sana wakati mwingine kuliko hata simu
Nashukuru sn mkuu
 
V
Ok ni hvi mkuu
1. mzgo ntakua nanunua hapa hapa nchini sanasna dsm-kariakoo
2.nataka kuuza cm original tu(japo cna utaalam wa kutofautsha na copy)
3.Natarajia kuuza mikoani, kama dodoma, shinyanga.
4.Ndio inaonekana watu wanazikubali zaidi cmu original maeneo haya
5. Ntauza mimi kwa mda wa mwez m1 then ntaweka mtu.
Nashukuru mkuu kwa ushirikiano.
Vp kiongozi ulifanikiwa kuianzisha biashara hii?
 
biashara ya simu inategemea na utekelezaji wa bishara yako ya simu kama ifuatavyo
1.mzigo unanunua mwenyewe toka nje au unanunua hapahapa
2.aina simu unazouza no original tu au ni mchnaganyiko au ni simu copy
3. wateja gani unaenda kuwauzia yani maeneo ya biashara mana ukiuza poster na kkoo ni sehemu tofauti ya wateja
4.vipi return za simu unaponunua wanazipokea?
5.muuzaji ni wewe mwenyewe au unamuoka mtu?
ukishaweka vitu hivyo katika wazi naweza kukusaidia.
Mimi nahitaji kufungua apple store ndogo niwenauza sim na vifaa vya iPhone ilaninashindwa kukadiria mtaji, nahitaji mtaji wa kiasi gani kwa kuanzia?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom