ram
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 9,329
- 8,511
MziziMkavu, barca, Ze marcipolo na madoctor wengine mnahusika hapa
Kilimi(kidaka tonge)changu kimerefuka sana na kina nisababishia kikohozi cha mara kwa mara hasa usiku, nakohoa hadi nakasirika, nimesikia na kuambiwa kuwa dawa ya kilimi kikirefuka ni kukikata, binafsia naogopa mno wala sifikirii kwenda kukikata, nikaambiwa tena kwamba nikiacha hivyo mbali na kikohozi kitakuja kupasuka
Hebu nipeni dawa mbadala ya kilimi instead of kwenda kukikata
Kilimi(kidaka tonge)changu kimerefuka sana na kina nisababishia kikohozi cha mara kwa mara hasa usiku, nakohoa hadi nakasirika, nimesikia na kuambiwa kuwa dawa ya kilimi kikirefuka ni kukikata, binafsia naogopa mno wala sifikirii kwenda kukikata, nikaambiwa tena kwamba nikiacha hivyo mbali na kikohozi kitakuja kupasuka
Hebu nipeni dawa mbadala ya kilimi instead of kwenda kukikata