Wild fauna
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 461
- 189
Mie natarajia kumwomba mwigulu nchemba ile anayoivaaga shingoni.
polic mkoa wa tmk wamepiga marufuku hayo maandamano. source.radio times.
Wazo bovu kabisa. Yaani bendera ya taifa ni ya kuidhalilisha hivyo?
Your are smelling CCM, kudhalilisha kuko wapi?
Wanabodi,
kwa upande wangu ningeshauri kesho kwenye hayo maandamano yanayosemekana kuwa ya wapinzani wote waliokubali mwaliko kutoka chadema basi ningeshauri zibebwe bendera za taifa lakini nguo za vyama zibaki zilezile za kawaida kama magwanda na scarf.
Huo ndo ushauri wangu!
Ulitegemea Policcm wayaruhusu tena ya Chadema!!!polic mkoa wa tmk wamepiga marufuku hayo maandamano. source.radio times.
Ina maana Mwigulu anapoingia guest na bendera ya taifa naye ni muhuni.Kuruhusu wahuni kubeba bendera ya taifa ni udhalilishaji wa hali ya juu sana.
naomba kujua maandamano yanaanza sa ngapi na mkutano unaanza sa ngapi