Naomba ushauri wa mawazo. Mm nataka kuanza chuo lakini am struggling a bit kwa sababu napenda Kuwa innovative na mbunifu sana na nahisi nikisomea mambo ya designing architecture ndo roho yangu inapenda na pia I see myself doing so many things.
Lakini nimesoma science classes madarasa yote na wazazi wangu wanajua nataka kusomea petroleum engineering kwa sababu soko la ajira lipo wazi.
Achana na zote hizo nenda chuo cha maji ukasome water resources engineering kama unataka ajira...... Ila kama unataka kuwa mmbunifu nyumbani kwenu jipeleke unapotaka kwenda
We soma unachopenda na jitahidi ufanye vizuri na uwe vizuri kwa kazi pia. Dunia ina nchi nyingi kuna kampuni nyingi na yet ukiwa architecture unaweza jiajiri. Usijilimit bado uko mdogo kuna wazee wanaanza kuota upya sasa.
We soma unachopenda na jitahidi ufanye vizuri na uwe vizuri kwa kazi pia. Dunia ina nchi nyingi kuna kampuni nyingi na yet ukiwa architecture unaweza jiajiri. Usijilimit bado uko mdogo kuna wazee wanaanza kuota upya sasa.
jaman naombeni ushauri nimepata division two kuendelea advance sipendi nimepanga kwenda chuo kusoma electric engineering naombeni msaada kipi ni chuo bora.halaf je ni engineering ipi nyingine ambayo baada ya miaka mitatu itakuwa na ajira nyingi