Ushauri: Juu ya ununuaji wa gari aina ya cami

Ushauri: Juu ya ununuaji wa gari aina ya cami

raky

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2011
Posts
206
Reaction score
34
Wapendwa wangu naomba mnishauri nmetokea kuyapenda sana haya magari aina ya Cami coz yapo juu nahic yatakuwa yanafaa hasa kwa hizi Barbara zetu,naomba ushauri kama spear zake je znapatikana na bei hazko juu sana.Mungu awabariki
 
raky mkuu nimekuwa na cami kwa muda
Sasa na halijanisumbua kwa lolote
...spea zinapatikana bila shida yoyote!!!!!ipo sokoni mkuu bei mil 9....kama vipi ni pm
 
Last edited by a moderator:
Wapendwa wangu naomba mnishauri nmetokea kuyapenda sana haya magari aina ya Cami coz yapo juu nahic yatakuwa yanafaa hasa kwa hizi Barbara zetu,naomba ushauri kama spear zake je znapatikana na bei hazko juu sana.Mungu awabariki
Hizi gari ni chaguo la wanawake wengi, kama wewe ni me haikufai. Pili nahisi hakiko stable barabarani-hasa kwenye highway.
 
Back
Top Bottom