Inategemea ni biashara gani unataka kufanya, lakini kwa uzoefu wangu minada haswa ya dar faida kidogo sana au hamna.
Kwanza watu wanategemea mnadani wapate vitu bei rahisi kupita uhalisia, pia wanaokuja minadani ni wanafunzi mama wa nyumbani na mahouse girl ambao pesa kwao ni tia maji tia maji. Usisahau wakazi wa dar upatikanaji wa bidhaa kwao ni rahisi sana maana wako karibu na masoko makubwa.
Kwa ushaur tu kama unataka biashara ya minada nenda mikoani nasikia inafanya vizuri ingawa me sijawahi kujaribu.