USHAURI:JE NICHUKUE LAPTOP IPI

USHAURI:JE NICHUKUE LAPTOP IPI

LAPTOP A
-2.7 GHZ
8gb ram RAM
CORE i5 7the edition
video menory 4gb with nvidia 930m pamoja na intel graphics
1 tb hdd


LAPTOP B
2.6 GHZ
INTEL CORE I7 5600U
8 gb RAM
video memory 4gb intel hd graphocs 5500
500 gb hdd

BEI ZINALINGANA

Ulichukuwa kwa bei gani hiyo A?
 
-recomended uwe na dola 700 mpaka 800 na mtu nje wa kumuagizia ununue dell inspiron 15 mpya au laptop yenye sifa kama hizo ndio itatick box zote, specs zenyewe ni kama

-processor ya i7 quad hii ni nzuri kwa mambo yote hayo hapo juu
-gpu yenye angalau vram za GDDR5 kama Nvidia 1050
-ram 8 au 16gb
-display ya FuLl HD

kama upo kwenye budget tafuta pc ya 4th gen inayoishiwa na M hizi ni nzuri sana na zinapatikana kirahisi mtaani around 400,000 hadi 600,000, hizi utapata

-processor nzuri yenye nguvu ya core moja na core zote.
-hata kama ram itakuwa 4gb utaweza iongeza mwenyewe taratibu hadi ifike 8gb au 16gb
-gpu yake ya ndani yaani HD4600 ni kati ya gpu bora za ndani.

hii ni list ya hizo processor za 4th gen

-i3 4000M
-i3 4100M

i5 4200M
i5 4300M

i7 4600M
i7 4700HQ
i7 4700MQ

zote hizo zina variety zake mfano i5 4300M ina wenzake kama 4310M, 4320M, 4330M etc
Asante sana mkuu..
 
LAPTOP A
-2.7 GHZ
8gb ram RAM
CORE i5 7the edition
video menory 4gb with nvidia 930m pamoja na intel graphics
1 tb hdd


LAPTOP B
2.6 GHZ
INTEL CORE I7 5600U
8 gb RAM
video memory 4gb intel hd graphocs 5500
500 gb hdd

BEI ZINALINGANA
Bei gani na zinapatikana wapi Tz?
 
20170428_200238.jpg
 
Back
Top Bottom