Niko na rafiki yangu mmoja tuko naye mara nyingi sehemu ya kazi. Ana miaka 36 ni mdogo kwangu kidogo lkn amekuwa akiniambia kuwa tangu alipofika miaka 35 amekuwa akipenda kufanya tendo la ndoa kila siku hawezi kabisa kulala bila hilo.
Na hata kama mume wake hayupo nyumbani ni afadhali afanye masturbation kuliko alale hivyo.
Nimemwambia aingie jf aombe ushauri kwa dr. anasema aliwahi kuongea na doct akamwambia miaka 34-40 kwa mwanamke ni miaka ambayo inasumbua wanawake wengi. hili linaukweli? dr tusaidie .
Hata kama mume yupo, huyo mume wa kumfanyisha mtu mapnz kila siku kila siku hana kazi zingine za kufanya!!!
kazi nyingine kama zipi!!!!!!!!!!
Nimemwambia aingie jf aombe ushauri kwa dr. anasema aliwahi kuongea na doct akamwambia miaka 34-40 kwa mwanamke ni miaka ambayo inasumbua wanawake wengi. hili linaukweli? dr tusaidie .
tena usiku!!!!!
Niko na rafiki yangu mmoja tuko naye mara nyingi sehemu ya kazi. Ana miaka 36 ni mdogo kwangu kidogo lkn amekuwa akiniambia kuwa tangu alipofika miaka 35 amekuwa akipenda kufanya tendo la ndoa kila siku hawezi kabisa kulala bila hilo.
Na hata kama mume wake hayupo nyumbani ni afadhali afanye masturbation kuliko alale hivyo.
Nimemwambia aingie jf aombe ushauri kwa dr. anasema aliwahi kuongea na doct akamwambia miaka 34-40 kwa mwanamke ni miaka ambayo inasumbua wanawake wengi. hili linaukweli? dr tusaidie .
hilo lina ukweli na huyo mdogo wako hana kasoro kabisa...
Labda unaweza ukampa ushauri kulingana na experience uliyokuwa nayo wewe wakati unapitia umri kama huo...
Za kujenga taifa... Sometimes mtu ukirud hom utulize akili na mwili, uwaze na kuwazua kesho itakuwaje... Sio kukata viuno daily, ebbo!!!!kazi nyingine kama zipi!!!!!!!!!!
Mi ningekuwa na mwanamke wa ivo ningemnunulia dildo...atamuua baba watoto jamani ? daily
Niko na rafiki yangu mmoja tuko naye mara nyingi sehemu ya kazi. Ana miaka 36 ni mdogo kwangu kidogo lkn amekuwa akiniambia kuwa tangu alipofika miaka 35 amekuwa akipenda kufanya tendo la ndoa kila siku hawezi kabisa kulala bila hilo.
Na hata kama mume wake hayupo nyumbani ni afadhali afanye masturbation kuliko alale hivyo.
Nimemwambia aingie jf aombe ushauri kwa dr. anasema aliwahi kuongea na doct akamwambia miaka 34-40 kwa mwanamke ni miaka ambayo inasumbua wanawake wengi. hili linaukweli? dr tusaidie .
Well, umesema ni mdogo kwako which means we uko above 36.
Dr. Kamwambia miaka 34-40 ni kawaida hiyo makitu kutokea.
Hesabu za haraka kama wewe uko kinyume na ushauri wa daktari basi weye ndo ulipaswa ushtuke kwakuwa ulipaswa kuwa na hamu ya kila siku kama daktari alivyosema..
Swali: Umeuliza kijanja kupitia kwa mgongo wa rafiki yako? Au una mashaka na daktari wa huyo mwenye pepo la ngono?
Hiyo mashine inayosuguliwa kila siku sipati picha rangi yake ikoje.
Afu utuulizie hapo kwa blue, kama mwezi mzima hawezi lala bila kunaniliyuiwa, akiwa anableed anaingiza gunzi au tango?
Madaktari: Mtambuzi, Kaizer, amu, Paloma, Kipaji Halisi, Madame B, snowhite, cacico hebu kujeni pande hii.