Wadau,
Mimi na mwenza wangu tunatarajia kupata mtoto wetu wa kwanza mwishoni wa April, au mwanzoni nwa May Mungu akijalia.
Kwa sasa mama anafanyia clinics pale Marie Stopes, Mwenge. Hatuna insurance, so nalipa toka mfukoni.
Nimefikiria kuwa ajifungulie pale pale, lakini sina uhakika sana kama ni pazuri, ukichukulia huyu ndio mtoto wa kwanza, so sina kabisa uzoefu.
Nimejaribu kucheki gharama za AghaKhan, ila naona zipo juu sana. Kwa mfano, kama ikitokea akajifungua kwa operation, basi gharama ni kama Mil 4 kasoro kidogo.
I would be confortable paying somewhere around 1.5Mil kwa kila kitu.
Ningefurahi sana kama ningepata ushauri wowote toka kwa wadau wenye uzoefu kuhusu uchaguzi wa hospitali.
Asanteni sana.
Ram
Nimejaribu kucheki gharama za AghaKhan, ila naona zipo juu sana. Kwa mfano, kama ikitokea akajifungua kwa operation, basi gharama ni kama Mil 4 kasoro kidogo.
Kwa sasa hakuna complication yoyote ambayo inaweza pelekea kuhitaji operation
Acha woga miela yote ya nini hiyo, nenda kajikunje mwenyew hospitali za serikali.Wadau,
Mimi na mwenza wangu tunatarajia kupata mtoto wetu wa kwanza mwishoni wa April, au mwanzoni nwa May Mungu akijalia.
Kwa sasa mama anafanyia clinics pale Marie Stopes, Mwenge. Hatuna insurance, so nalipa toka mfukoni.
Nimefikiria kuwa ajifungulie pale pale, lakini sina uhakika sana kama ni pazuri, ukichukulia huyu ndio mtoto wa kwanza, so sina kabisa uzoefu.
Nimejaribu kucheki gharama za AghaKhan, ila naona zipo juu sana. Kwa mfano, kama ikitokea akajifungua kwa operation, basi gharama ni kama Mil 4 kasoro kidogo.
I would be confortable paying somewhere around 1.5Mil kwa kila kitu.
Ningefurahi sana kama ningepata ushauri wowote toka kwa wadau wenye uzoefu kuhusu uchaguzi wa hospitali.
Asanteni sana.
Ram
Muhimbili National Hospital ndo mambo yote.
Basi usihofu, mpeleke hospitali yeyote ya serikali mwananyamala au temeke ila usisahau kumpa nesi elfu 10 tu (ya nauli au maji ya kunywa) atamshughulikia kama ndugu yake kabisa.
Kama inawezekana kafanye vopimo vya abdominal ultrasound ili kujua mtoto kalala vip katanguliza nn na ana umri gani
Kama vipimo vitakuwa safi tegemea mkeo kujifungua salama kabisa na mtumishi yeyeto mwenye fani ya afya aweza kumsaidia popote tu na akajifungua vzr sana
. licha ya kuwa anatakiwa kuhudhuria klinic zote kwa afya nzuri ya uzazi.
Tunapendelea sana mimba ya nzao ya kwanza ajifungulie hospitalini for complication reduction.