afadhali hata nssf wanatoa fao la kujitoa kama umeachishwa kazi, au contract kuisha, sasa mimi niliachishwa kazi nmb yapata miezi 9 sasa, nilikuwa PSPF nilivoenda kujitoa nkaambiwa nikae miezi 6 ndo ntapata haki yangu na fomu za kujitoa nikajaza kabisa, lkn ajabu nlivorudi baada ya six month naambiwa cwezi pata mpaka ntimize 55yrs, wakata kazi ilikuwa ya muda na nimefanya mwaka 1.5 tu mafao hayafiki hata 2mlns. ila wenzangu walokuwa lapf tulioachishwa kazi wote walishaoata chao, me naambiwa et serikali umezuia, sasa najiuliza umezuia kwa PSPF tu, pesa yangu inanuma sana nkiwaza kuwa nimenyimwa haki yangu wakati mimi cna hata mtaji wa ujasiliamali.