Chama cha demokrasia na maendeleo Chadema hakina budi kumuondoa ofisa habari ndugu Tumaini Makene ili kumeweka mtu anayeimudu zaidi nafasi hiyo.
Kama kuna mtu yoyote ambaye ni mwandishi wa habari atakubaliana na mimi kwamba huyu jamaa ni mzigo ambao unakiharibia cha kadri muda unavyokwenda.
Mfano mzuri ni hii leo alipowatumia sms waandishi wote wa habari kuwa wafike eneo la Ngome, Kawe yalipo makao makuu ya UKAWA ili waweze kupanda gari la waandishi na kuungana na msafara wa ndugu Edward Lowassa kuelekea katika majimbo ya Temeke, Segerea, Ubungo na Tanganyika packers.
Hata hivyo mpaka msafara wa Lowassa unaondoka wandishi walibaki wameduwaa tu kwani hapakuwepo na hiyo gari ya waandishi.
Kutokuwepo kwa gari ya waandishi si tatizo lakini kuwatumia sms watoke ofisini mwao waende nje kidogo ya mji ili wapande gari iliyo kwenye msafara ni tatizo.
Ajabu zaidi Makene aliwakimbia wandishi na kutowaeleza hatima ya wao kuufuata usafiri, wengine walipelekwa mpaka Ngome Kawe na gari za media zao na zikawaacha zikiamini wapo kwenye mikono ya Chadema.
Makene akawakimbia waandishi ambao aliwaita yeye mwenyewe na kusababisha waanze kumsaka na matokeo yake wengi walikata tamaa na kuachana na kuripoti mikutano ya Lowassa ya Temeke na Segerea na kulazimika kusubiri mkutano wa jioni Kawe.
Hii si mara ya kwanza mtu huyu siku tano zilizopita aliwatumia sms waandishi kuwa kuna Press ya UKAWA huko Kawe beach walipoenda walikuta empty, wanapiga simu hapokei huyu mtu anasababisha chama kigombane na kuchukiwa na wanahabari kutokana na uzembe wake.
Tunajua huenda press ilihairishwa kwa dharura lakini kwani hakuwataarifu waandishi waliokaa kwa masaa manne wakiisubiri huku wakipiga simu hapokei mpaka wakaamua kuondoka wenyewe, hata walipoondoka kwanini hakuwaomba radhi?.
Makene ni mzigo kwenye idara yake.
Kama kuna mtu yoyote ambaye ni mwandishi wa habari atakubaliana na mimi kwamba huyu jamaa ni mzigo ambao unakiharibia cha kadri muda unavyokwenda.
Mfano mzuri ni hii leo alipowatumia sms waandishi wote wa habari kuwa wafike eneo la Ngome, Kawe yalipo makao makuu ya UKAWA ili waweze kupanda gari la waandishi na kuungana na msafara wa ndugu Edward Lowassa kuelekea katika majimbo ya Temeke, Segerea, Ubungo na Tanganyika packers.
Hata hivyo mpaka msafara wa Lowassa unaondoka wandishi walibaki wameduwaa tu kwani hapakuwepo na hiyo gari ya waandishi.
Kutokuwepo kwa gari ya waandishi si tatizo lakini kuwatumia sms watoke ofisini mwao waende nje kidogo ya mji ili wapande gari iliyo kwenye msafara ni tatizo.
Ajabu zaidi Makene aliwakimbia wandishi na kutowaeleza hatima ya wao kuufuata usafiri, wengine walipelekwa mpaka Ngome Kawe na gari za media zao na zikawaacha zikiamini wapo kwenye mikono ya Chadema.
Makene akawakimbia waandishi ambao aliwaita yeye mwenyewe na kusababisha waanze kumsaka na matokeo yake wengi walikata tamaa na kuachana na kuripoti mikutano ya Lowassa ya Temeke na Segerea na kulazimika kusubiri mkutano wa jioni Kawe.
Hii si mara ya kwanza mtu huyu siku tano zilizopita aliwatumia sms waandishi kuwa kuna Press ya UKAWA huko Kawe beach walipoenda walikuta empty, wanapiga simu hapokei huyu mtu anasababisha chama kigombane na kuchukiwa na wanahabari kutokana na uzembe wake.
Tunajua huenda press ilihairishwa kwa dharura lakini kwani hakuwataarifu waandishi waliokaa kwa masaa manne wakiisubiri huku wakipiga simu hapokei mpaka wakaamua kuondoka wenyewe, hata walipoondoka kwanini hakuwaomba radhi?.
Makene ni mzigo kwenye idara yake.