Sawa nashukuru sana mdau kwa angalizo ila biashara nataka kufungua Morogoro vipi unaweza kunipa updates zaidi,ntakachofanya nkiwa successful ntakuita kwa ushauri wa kawaida na wakitaalamu sina pesa za kuajiri kwa sasa ila waweza kuni pm contacts zako tutawasiliana,niko Morogoro mjiniLet me declear interest firs, mm nmesomea kilimo (general agriculture). Pamoja na hayo na japo sina uzoefu na biashara hiyo lakini naweza kukushauri mambo mawili matatu kwanza hilo wazo ulilonalo ni moja kati ya mawazo mazuri pia kwa sababu kwa hali ya sasa ni vigumu kwa wakulima na wafugaji kulima au kufuga bila kutumia pembejeo za kilimo hivyo idea ya kufungua duka la pembejeo ni inalipa tu ila cha kuangalia kua unalifungulia wap ilikurahisisha upatikanaji wa wateja katika eneo husika, na pia wakati unafikiria experties wa kufanya kaz kwenye hiyo biashara yako ndugu yako hapa nipo unaweza ukaniajiri mana bado sijaajiriwa tangu nimalize chuo mwakajana 2013.

Mkuu upo gangabilili?Hbr wanajamvi
Nina mpango wa kufungua Agrovet ndogo ya 3mlns ili niizungushe hiyo pesa nitengeneze ya zaidi.
Nafanya Kazi maeneo ya kijijini na pana soko siku ya j5, kwa tathmini ya haraka nionavyo wakulima hawapati kabisa huduma za pembejeo za Kilimo hivyo nikianzisha basi nitakuwa nimewasogezea krb.
Wadau wenye uzoefu na hii biashara naombeni ushauri please kabla sijaanza
Yaani Biashara ina faida gani na changamoto zake kubwa ni nini.
Pia natarajia kununua mashine ya kumwagilia ili nianze kununua bustani kadri nitakavyoweza.
Je , Mbegu gani nzuri ya nyanya na vitunguu hybrid ni nzuri kwa Kilimo( outdoor) Sio greenhouse. Na bei ipoje.? Nipo Simiyu. Krbn![]()
![]()
![]()
![]()
Yap nakupata ni mbele ya sunzula. Kuna shamba nilitaka kununua pembeni ya mto simiyuNipo kinang'weli, mwenyeji huku