Ushauri azam TV

Ushauri azam TV

Tyupa

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2013
Posts
802
Reaction score
657
Azam Tv hivi sasa ni moja ya tv ya kisasa kabisa ambayo imezipita tv nyingi hapa nchini kwa ubora.Lakini pamoja na sifa hii kasoro nazo katika kila jema hua hazikosekani.

Moja ya kosa kubwa linalotesa wadau wa tv hii nI pale unapotafuta station au chaneli ya kuangalia kutoka kwenye orodha ya chaneli zilipangwa kwenye tv.Ule mstari wa cursor una rangi ya blue sawa na rangi ya background ya tv.

Unapotembeza cursor haionyeshi vizuri imemark kwenye chsneli gani.Wenye poor vision hakika atapoteza muda mwingi kupata chaneli anayotaka.Mimi nawashauri wabadilshe waweke mstari mweupe au mwekundu unaoonekana kwa urahisi na kila mtu.

Jambo hili linawatesa wengi sana pengine hata boss mwenyewe hawezi kufungua tv peke yake hadi afunguliwe na watu wengine wenye macho makali.
 
Kweli mkuu, huwa inatatiza sana hadi naamua kutumia kitufe cha kuzisogeza mbele au nyuma, inabidi walifanyie kazi hili.
 
Hili wali li ignore,ila ni kweli kabisa linasababisha usumbufu mkubwa,hasa sisi wenye umri mkubwa macho yalisha poteza uwezo wa kuona vizuri kitambo.
 
mimi kwngu hilo tatizo halipo,tatizo kubwa kwangu ni kipindi hiki cha mvua,picha hazionekani.
 
Na zile subtitle katika movies ni za kiarabu inatupa shida rekebisheni hilo Azam
 
Siku za nyuma Azam tv walikuwa wanatoa nafasi kwa wadau wa Azam tv kutoa maoni ni jinsi gani inafaa kuboresha matangazo yao.Nadhani hili tatizo la kutoonekana vizuri kwa msitari wa cursor watalifanyia kazi.
 
Hii ni tabu sana ......ule mstari hauonekani vizuri

CC Yahya Mohamed
 
Last edited by a moderator:
Azam Tv hivi sasa ni moja ya tv ya kisasa kabisa ambayo imezipita tv nyingi hapa nchini kwa ubora.Lakini pamoja na sifa hii kasoro nazo katika kila jema hua hazikosekani.

Moja ya kosa kubwa linalotesa wadau wa tv hii nI pale unapotafuta station au chaneli ya kuangalia kutoka kwenye orodha ya chaneli zilipangwa kwenye tv.Ule mstari wa cursor una rangi ya blue sawa na rangi ya background ya tv.

Unapotembeza cursor haionyeshi vizuri imemark kwenye chsneli gani.Wenye poor vision hakika atapoteza muda mwingi kupata chaneli anayotaka.Mimi nawashauri wabadilshe waweke mstari mweupe au mwekundu unaoonekana kwa urahisi na kila mtu.

Jambo hili linawatesa wengi sana pengine hata boss mwenyewe hawezi kufungua tv peke yake hadi afunguliwe na watu wengine wenye macho makali.

Hili tatizo linakera sana. Azam wajaribu kubadili ili tufanye uchaguzi sahihi.
 
Wahusika nadhani ni waungwana sana kama maoni haya ya wadau wameyaona basi watupe majibu kuwa wamesikia na kuona na hivyo watarekebisha au jambo hilo ni gumu ili tuendelee kuteseka vivyo hivyo.
 
Back
Top Bottom