Ushaur wenu tafadhar

Ushaur wenu tafadhar

Status
Not open for further replies.

Denicedion

Member
Joined
Jan 11, 2015
Posts
33
Reaction score
7
Wana JF mm ni kijana mwny umr wa miaka 18 na nipo katka mahusiano na mschana flan ambae ni jiran ye2,wkt nkiwa kwny mahusihano nae dada ake alikua hajui k2 na 2likua marafik saana ila baada ya dada ake kugundua bc ametokea kunichukia saana kupita kiac mpk kufikia hatua ya kuahid kuniua kama ncpo achana na mdogo wake mby zaid dada huyo amesha olewa na ana watt wa3
NAOMBEN USHAUR WENU NIFANYEJE
 
Wana JF mm ni kijana mwny umr wa miaka 18 na nipo katka mahusiano na mschana flan ambae ni jiran ye2,wkt nkiwa kwny mahusihano nae dada ake alikua hajui k2 na 2likua marafik saana ila baada ya dada ake kugundua bc ametokea kunichukia saana kupita kiac mpk kufikia hatua ya kuahid kuniua kama ncpo achana na mdogo wake mby zaid dada huyo amesha olewa na ana watt wa3
NAOMBEN USHAUR WENU NIFANYEJE

huyo msichana nae ana umri gan?
 
Wana JF mm ni kijana mwny umr wa miaka 18 na nipo katka mahusiano na mschana flan ambae ni jiran ye2,wkt nkiwa kwny mahusihano nae dada ake alikua hajui k2 na 2likua marafik saana ila baada ya dada ake kugundua bc ametokea kunichukia saana kupita kiac mpk kufikia hatua ya kuahid kuniua kama ncpo achana na mdogo wake mby zaid dada huyo amesha olewa na ana watt wa3
NAOMBEN USHAUR WENU NIFANYEJE

Pumbavu wewe bado mtoto mdogo unakimbilia mapenz ya nn soma shule tengeneza msingi wa maisha yako ya badae nyapu zipo tu utapiga sana sahv komaa na shule dogo acha ungese
 
Wana JF mm ni kijana mwny umr wa miaka 18 na nipo katka mahusiano na mschana flan ambae ni jiran ye2,wkt nkiwa kwny mahusihano nae dada ake alikua hajui k2 na 2likua marafik saana ila baada ya dada ake kugundua bc ametokea kunichukia saana kupita kiac mpk kufikia hatua ya kuahid kuniua kama ncpo achana na mdogo wake mby zaid dada huyo amesha olewa na ana watt wa3
NAOMBEN USHAUR WENU NIFANYEJE


Kwanza kwa umri huo waonesha wazi kuwa weye ni kijana wa skuli bado.Pili huyo bint yaonesha wazi ni under 18 pia chanafunzi tena cha o-kevel kabisaa..,

Coming to your Qsn,
Yaonesha kiasi gani jamii zetu zimeoza na zanuka pwiiiyaaa..
We kijana mduchu wa skuli pasina haya wala staha waeleza ukhanithi/usherati wako alaaniya ati wataka ushauri kwa baba,mama,babu na bibi zako humu.Tena uko na bahati huyo dadake ankuchelewesha, ngekua mie ni binti angu yuwamchanua ngetafutia zijana zangu pia zikutanue kusikotanuliwa shabaaash....

Fanya chukua notes wende soma,tena ole uje tena hapa leta ukhanithi wako pambaff.
 
et kijana wa miaka 18 huyo mpenzi wako nae ni mtoto wa umri gani?
 
Huyo dada wa binti nae. I wish ningekuwa ndio mimi dada yake huyo mtoto. Ningekunyoosha kwa pasi ya mvuke
 
Wana JF mm ni kijana mwny umr wa miaka 18 na nipo katka mahusiano na mschana flan ambae ni jiran ye2,wkt nkiwa kwny mahusihano nae dada ake alikua hajui k2 na 2likua marafik saana ila baada ya dada ake kugundua bc ametokea kunichukia saana kupita kiac mpk kufikia hatua ya kuahid kuniua kama ncpo achana na mdogo wake mby zaid dada huyo amesha olewa na ana watt wa3
NAOMBEN USHAUR WENU NIFANYEJE

mbafff
 
Hahahahaha! yn wabongo bhna ss mmeshaur nn kama co usenge kwn mapnz yana umr maalum wa kupenda achen uboya wa kizee ------- nyie kama hamna ushaur piten kushoto kwnz nyie wote tasa
 
Yan mara 100 hao walosema npige ktab ila nyie pimbi mlobak wote mnaliwa na popo bawa
 
ushajifunza mapenz shulen jiandae kufel mtihani wa mwalimu na huo ujinga wako ujanani utakugharim uzeeni soma dogo mtaa pagum
 
Yan mara 100 hao walosema npige ktab ila nyie pimbi mlobak wote mnaliwa na popo bawa
 
Huyo dada anakutaka.

Hahaaa najua hili jibu ndio ulilokuwa unataka kuliskia.
 
Kwa taharifa yenu ni kwamba nmemalza 4m 4 mwaka jana na nmepasua kwa ufaulu mzur 2 wa kwenda advanc kila k2 kna nafac yke cwez kujizuia kupenda
 
Jitahidi kumwomba mungu akupe upeo mkubwa zaidi katika kufikiri, akupe uelewa na kuifungua akili yako upate kutambua lipi jema na lipi baya, akuongoze kupita na kuyashinda zaidi majaribu unayokutana nayo katika umri huu ulionao, zaidi akupe nuru iwezayo kumurika njia ambayo utapita katika safari yako ya maisha.
Tengeneza future yako kwa sasa, fanya zaidi kile kilichopo mbele yako kwa sasa lakini kile tu ambacho wazazi/ jamii itapenda kuona ukifanya.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom