ushaur wenu naomba

Tuna sahau kuwa hili jukwaa lina angaliwa/tazamwa/changiwa na watu tofauti tofauti, uandishi huo kwenye blue una kera sana.
Sidhani kama ataweza kukuelewa kama wewe mwenyewe unashindwa kuandika ili watu wote waelewe.
Samahan mi skujua ilo, mi ni mgeni humu
 
Asante kwa ushauri ntajita
id kufanyia kazi
 
kwa umri huo kupambana na mvuta bangi.sigara sijui makitu gani mapema sana nenda skuli atakuzeesha bure
 
Mpeleke akaombewe ili hayo makitu ayaache. Hivi hivi haiwezekani binti yangu
 
Unajua nini? Haniker wala hanifanyi vitu vibaya, but sipendi because haina faida, na its not good for health

kama hukereki basi haijalishi
hizo ndio starehe zake,siku
akiona hazifai ataacha mwenyewe!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…