M ni msichana wa miaka 21, na mpenz wang ambae ni 25, kiukwl our relation started as a joke, coz ye aliku anampenz wake anampenda sana alishi nae kw miaka mine, bt later on alikuja kumsaliti, then he met me we became frnds, den widout realizin we fell 4 each other, nampenda na yeye ananipenda sana nashkuru mungu kwa ilo but tatizo lunakuja ivi, yey ni mbanian bt alislimu, ila tng najuana nae kuna vi2 vingi anafanya na it proves that he loves, hajawah kufanya kitu ambacha kingepelekea kumsuspect kuniendea kanyume, but nachoshindw kumuelewa, yey anavuta cgara, bang, analewa, haswal, ni vitutu ambavo muislam yoyote hatopenda, hajawah kuniende kinyume kwenye mapenz, bt vi2 ivo kumwmbia afanye anasems hawez, nikimkazania ugomvi namforce, naomben ushauri wenu? Nifanye nn coz nimetry sana kumwmbia aache bt hatekelez,