Kateka Sanza
Member
- Jun 8, 2013
- 44
- 8
Cdm ndo chama pekee kwa sasa kinachoweza kuwapa watanzania tumain jipya la maisha! Lakin wanajamii kitu cha kushangaza chama hik kilichopata mvuto kwa ghafla ni ombwe la uongoz ndan ya chama Wako vijana ambao hawana maadil ndo wanapewa uongoz watu wanaovuruga chama! Ushaur wangu viongoz na wanachama jaribun kutulia na kuchagua viongoz makin watakaojenga chama kama kwel mnayo dhamira ya kwel kuchukua nchi 2015. Nawasilisha!