It seems nyie ndo problem cos kwa jins ulivyopost Hapa habar haieleweki....
Kwann yy hajasoma??
Ana mke/ watoto or still single??
Je unahisi kwann amebadilika???
Je wajua thinking capacity yako na yake si sawa??
Mnampenda , kumheshimu na mmamsikiliza pia mambo ya kifamilia mnamshirikisha ktka decision making au ndo mnamtenga
Embu funguka ili tukushaur