Ushauli Tafadhali wahizi credit:

Ushauli Tafadhali wahizi credit:

sharama

Senior Member
Joined
Sep 20, 2016
Posts
126
Reaction score
39
Baada ya matokeo ya kidato Cha nne kutoka kijana wangu ana alama hizi, Civ D Hist D Geog D kisw C Chemist D English C biology C Math F mimi mlezi sinaufahamu wowote kijana anataka kuendelea masomo je hizi zitamsaidia kuendelea ama ndiyo basi? Ushauri wako nimhimu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya matokeo ya kidato Cha nne kutoka kijana wangu ana alama hizi, Civ D Hist D Geog D kisw C Chemist D English C biology C Math F mimi mlezi sinaufahamu wowote kijana anataka kuendelea masomo je hizi zitamsaidia kuendelea ama ndiyo basi? Ushauri wako nimhimu

Sent using Jamii Forums mobile app
mbona ana HKL yake safi tu hapo, History japo D ila ana C ya kiswahili na English, labda division ndio imuangushe ila kwa kombi kapata, aachane na hisabati itamzingua aachane na masayansi na geography

Sent using Jamii Forums mobile app
 
four ndio utata, ila three, high school anaenda ila sasa inabidi akasome kweli, na shule kama unataka kumpeleka private ukaongee vizuri na walimu, wanaletaga kaubaguzi wanajifanya wanataka div 2 na 1 tu, ila inakuwaga mikwara ukihangaika nao anapata shule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ila kama dogo mwenyewe haogopi kupambana na hesabu, mwambie akasome HGE, ama kama hataki hesabu ila pia hataki HKL mwambie asome HGL, ubora wa HGL haina math ya BAM ila ina geography. ila kiswahili kafaulu kwa C si bora asome HKL kuliko HGL ambayo ana D ya Geography

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mwache asome HKL awe na chance nzuri ya kufaulu form six apate cheti afike chuo kikuu, kuliko asome vitu vyenye mathematics ama sayansi sana aje akutane na kizingiti form six, maana la muhimu hapo ni siku moja apate cheti cha form six cha kumfikisha chuo kikuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vp kuhusu vyuo kama atakosa kuingia kidato cha tano

Sent using Jamii Forums mobile app
sishauri chuo, maana mathematics inasaidia sana kusomea vitu vizuri na kuvifaulu huko chuo kwa levo ya certificate, mfano akitaka soma accounting, ambayo wengi wanaipenda, mathematics itamletea shida sana, ni bora aende form five asome kombi yenye kumuepusha na hayo mavizingiti ya sayansi na mathematics afike form six apate cheti, i promise you hatokosa kozi ya kusoma, watu wamesoma HKL wako mavyuo vikuu wana masters zao sa hizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sishauri chuo, maana mathematics inasaidia sana kusomea vitu vizuri na kuvifaulu huko chuo kwa levo ya certificate, mfano akitaka soma accounting, ambayo wengi wanaipenda, mathematics itamletea shida sana, ni bora aende form five asome kombi yenye kumuepusha na hayo mavizingiti ya sayansi na mathematics afike form six apate cheti, i promise you hatokosa kozi ya kusoma, watu wamesoma HKL wako mavyuo vikuu wana masters zao sa hizi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu nitalifanyia kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom