gambachovu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 1,854
- 292
Vinaanza taraaatibu kuchakachua sredi...hembu ona hapa!!
Sasa mambo ya mapishi yanatokea wapi??
Kuweni wapole basi...
Vinaanza taraaatibu kuchakachua sredi...hembu ona hapa!!
Sasa mambo ya mapishi yanatokea wapi??
Kuweni wapole basi...
wengine hatunaga upole aisee..bahati yake hapa ni keyboard...mtu kama huyo anga zangu namkata kichwa kisha mtama chini halafu hiyo kesi ije badae wakati nshamwaibisha na kumpa lesson ajue kuishi kwenye jamii
So sucks and pain in the a.ss
kama huyo
Sasa je!
We Lizzy,we ni mpishi.. Si unajua maandalizi yanavyokuwa?
Mi napenda kila kitu kiwe tayari,vitunguu,nyanya,nyama au samaki kila kitu kishakatwa... Mi ni kutia vitu kwenye sufuria..baasi. Yale maandalizi yananichoshaje?
Sipendi ma2c kwani hata mimi nayaweza...
Please acha fujo! Kama kuuondoka nitaondoka lakini si kwa kunitukana... Pweza mbichi wee!
Hahahaha. . .Yeahhh!!
Sasa uandae mwenyewe sio unataka kukoroga tu kama watu flani flani nnaowajua.Lolz
Ushaamua unapika nini?
Sijakutusi bana bt what a sredi is dealt with such kind of people, makes bored infact!! Just gives pain, Am not always right bt never wrong, umenimiss-qoute gamba, bt am sorry kama umedhani nimekutusi.
So sucks and pain in the a.ss
Yap... Pasta kwa nyama ya kusaga Lizzy..
Me likeyyyy. . .
Usisahau kuweka Oregan kidogo kwenye sauce. . .it adds flavour into it.
Nilisema kuweni wapole...
We ukanijibu hivyo.. Kwamba inakuuma kiasi hicho? Basi pole na mjadala uishe..
Endeleeni kupikilishana kama mlidhani ndio lengo la sredi
im out of here