Ushamba wa watangazaji wa ITV

Ushamba wa watangazaji wa ITV

JipuKubwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2013
Posts
2,342
Reaction score
2,390
Habari wana jamvi,leo wakati wa kipindi cha michezo baada ya taarifa ya habari mtangazji Amri Masare ameibuka na bonge la shati.

Sasa najiuliza ni ushamba au ni staili mpya iliyoletwa na Kofii Olomide.

Kama ni staili mpya wana bodi tuambizane.

20201205_205646.jpg
20201205_205635.jpg

 
Hivi mtu unakosa kazi unabaki kuangalia mavazi ya watu wengine,mtoa uzi kama wewe ni mwanaume jiangalie sasa,unaelekea sehemu mbaya sana,wanaume huwa hatuna hii tabia labda kuwe na tatizo la homon sehemu,ila kama ni mwanamke hakuna shida maana ajira nyingi sana zimepotea msimu wa corona,ila ya umbea na ukuda bado ipo ingawa haina mshahara.
 
Back
Top Bottom