Ushamba: Simu za Gharama


na ushamba umo mkuu..utakuta pamoja na fuctions zote hizo mtu anatuma text na kupiga simu peke yake..inakuwa haina maana.
 
Dunia inabadilika na vitu vinabadilika.
Miaka ya nyuma wakati kompyuta inavumbuliwa ilikua inajaa chumba kizima, lakini leo hii inakaa kiganjani ktk mtindo wa simu hii yote ni mapinduzi ya teknolojia.
Watengenezaji wa simu huzingatia watumiaji, ndio maana hutengeneza simu zenye mambo mengi na ufanisi mkubwa vivyo hivyo zile zenye ufanisi mdogo(mf tochi yenye simu -nokia kitochi).
Usimuite mtu mshamba kwa kuwa tu wewe huna uwezo wa kununua hiyo simu kali kumbuka vipato havifanani na wala matumizi ya simu hayafanani maana mi natamani hata mama ntilie angetumia iPhone au Samsung Galaxy maana najua kuna "applications" muhimu zimuhusuzo ila kikwazo uwezo na uelewa.
 
Hiyo simu yako inaitwaje mkuu. naona pia ina vimbwanga kibao. hebu nijuze inapatikana wap?.
 

Huo ndio ushamba wenyewe, we kama una radio, laptop etc sasa unanua simu yenye hivyo vitu vyote ya nini!!!. ingali utakuwa huvitumii kwenye simu. Au basi kulingisha ili ukifika baa uiweke juu ya meza!!! loh!!
 
hapa mtoa mada ameonesha wivu wa waziwazi,simu gani ya elfu 50 yenye kila kitu?kama hujiwezi kaa utulie.tumekuja duniani kuishi hatukuja kufanana,raha jipe mwenyewe,acha wivu.
 
Tambua kuwa kumiliki simu ya gharama kubwa inategemea uwezo wa mtu,tunatofautiana kiuwezo,pia kumbuka hata ktk umili wa vitu vingine tunatofautiana kwa gharama na ubora pia kama gari,nyumba na hata mavazi.
 

Hiyo SPB shell umeipataje? Nipe maujanja maana kwenye Android market au Google play inauzwa Usd 14 na ushee.
 
Hiyo simu yako inaitwaje mkuu. naona pia ina vimbwanga kibao. hebu nijuze inapatikana wap?.

Sijanunua Tz mkuu. Nimetoka nayo nje ila Dar nimeziona Nokia Care uliza inaitwa Nokia Lumia 800
japo kwa sasa kuna Lumia 900 imetoka March ila sijui kawa Dar ipo.
 
Hiyo SPB shell umeipataje? Nipe maujanja maana kwenye Android market au Google play inauzwa Usd 14 na ushee.

Nilinunua online kwa kupitia market place kwa kuwa akaunti yangu ya windows live iko activated.
Pia waweza nunua kwa paypal.
Huwa nanunua software za simu kwa kuwa nying ziko below USD 20.
 
Wee ni pumbavu, simu yangu ni Samsung Galax2. Nenda kaulize bei yake ukiwa umeshiba sawasawa vinginevo utaonekana mshamba ni wewe.
Hiyo Galaxy s2 ni best mobile so far, but bei yake ni rahisi sana. Its only abt 1.2m! Hii hata watoto wa shule wanaweza kununua, usijisifu kwa hili mkuu!
 
hapa mtoa mada ameonesha wivu wa waziwazi,simu gani ya elfu 50 yenye kila kitu?kama hujiwezi kaa utulie.tumekuja duniani kuishi hatukuja kufanana,raha jipe mwenyewe,acha wivu.

Sadaktaa, anataka sote tutumie simu za mchina hiyo enzi ya ujamaa na kujitegemea imeshapita.

Kama huna uwezo kaa pembeni. Ndiyo mana wengine wana Vitz na wengine Range rovers
 
Huo ndio ushamba wenyewe, we kama una radio, laptop etc sasa unanua simu yenye hivyo vitu vyote ya nini!!!. ingali utakuwa huvitumii kwenye simu. Au basi kulingisha ili ukifika baa uiweke juu ya meza!!! loh!!
hahaha hobby mkuu! simu natumia popote pale laptop mzigo sana so inatumika on high demand.

Niko radhi nisiwe na baiskeli ili nikusanye pesa ya simu inayokidhi kuiweka dunia mkononi.

Vitu kama youtube
Whatsapp, skype vinatakiwa popote. Je utabeba laptop hata hotel au shamban?
 
Hiyo Galaxy s2 ni best mobile so far, but bei yake ni rahisi sana. Its only abt 1.2m! Hii hata watoto wa shule wanaweza kununua, usijisifu kwa hili mkuu!
atleast Galaxy Nexus R. Mie naona S2 ya zaman sana japo sipendi samsung ninayo samsung i900 hapa inachajiwa kila after 12 hours.
 
Sure, ushamba kuwa na expensive phone? Si kweli! Km wadau wanavyosema ; interest za mtu ndio zinapelekea kununua simu ya milions!
 

kabisa mkuu, mtu ni mwembambaaaaaa anunua kitanda cha 5kwa 6 au 6kwa6, kwa nini asinunue na kulalia kitanda cha 2na nusu kwa 6 kama vile vya boarding schools alichokuwa analalia enzi hizo na kinamtosha?
 

Wewe ndio mshamba ambaye umekariri kwamba simu kazi yake ni kupiga, kupokea simu na kutuma sms with bonus of internet. Simu za mkononi matumizi yake ni zaidi ya uelewavyo wewe., kama hujui kitu just :shut-mouth:
 

Kichomiz,,,,,kwi kwi kwi kwi kwi kwi,,,,mbavu zangu kichomiz chaniumaz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…