Ushahidi juu ya Aliens wazidi kufichuka: Uwanja mkubwa wa Ndege za Anunnaki wagunduliwa Lebanon. Umejengwa kwa matofali yenye uzito wa tani 1,600

Mmh..
Mie ninaamini hivi viumbe kweli vipo..

nilikuwa na picha ya kamoja kaliuliwa huko Zimbabwe.hata Freemasons ile idea ipo ,lipo kundi la watu wenye nguvu za giza ambao hufanya hayo mambo kama ya Freemasons ila hawaitwi hivo, inasemekana hadi Mobutu alikuwa akiongea na Shetani ,kuna video niliona ya waziri wake anatoa ushuhuda
 
Hata mimi nilisha-conclude hao jamaa wapo na wana akili na teknolojia kubwa kuliko sisi. Shida huwa najiuliza kwa nini hawajawahi kurudi kutujaribu kwenye vita na wanadamu? Je, wanajua sisi ni hohe hahe kwenye teknolojia ama?
Wataalam wanadai uzito wa matofali hayo, unaleta shida kufikiria teknolojia iliyotumika kuyabeba, kuyaleta na kuyapanga hayo hayo matofali ni kubwa na vitu vilivotumika ni vizito sana ambako mpaka sasa hakuna teknolojia ya kubeba uzito kama huo.

huko Marekani kuna mradi wa mabilioni ya usd ambao wanasayansi toka miaka ya 1970 wapo na ma dishi makubwa sana na vifaa maalumu wanafanya kazi mbili
1.kutuma electronic signals nje ya dunia ambazo wanadai Aliens wataweza kuzi tafsiri na kuwasiliana na duniani
2.kuna wanaokesha usiku mzima na kushinda mchana kutwa kujaribu ku detect signals kama zinaweza kutumwa duniani na aliens
hiyo signal zipo katika mfumo wa sauti,nashindwa kuelezea vizuri kwa sababu sijui physics ila zipo video youtube
 
Sasa kuwepo tofari ndio kigezo? Mbona tuna balabala zimepitishwa chini ya maji tena urefu ni zaid ya km1000

mleta mada anadai hizo tofali kwa tech ya sasa ni vigumu kuzitengeneza na zimekuwa hapo miaka mingi hivo hii ndio hoja yake
 
mleta mada anadai hizo tofali kwa tech ya sasa ni vigumu kuzitengeneza na zimekuwa hapo miaka mingi hivo hii ndio hoja yake
Nahisi uhitaji wa kipindi kile ni tofauti na sasa awali walidai kuwa zile pyramid za misri zilijengwa na alien lakini hakukuwa na ushahidi huo nahisi kuna story inatengenezwa ili tuaminishwe kuwa hivi vidubwasha vipo tena vinatech kubwa kuzidi sisi lakini si kweli no hadithi tu ya kufikilika
 
Siyo kwamba iko karibu na Jua, bali imekingwa na Jua kutoka duniani na baadhi ya wataalamu wanadai iko mbali kama mara 20 ya umbali wa kutoka kwenye Jua hadi Sayari ya Kausi (Neptune) So, siyo umbali wa kitoto ndugu.
Tuanzie hapa,
Dunia si inalizunguka jua na kama hiyo Planet X iko nyuma ya jua imekingwa ina maana ipo katikati ya jua na Dunia ? Au kwa maana nyingine kama umbali kutoka kwenye jua ni huo ulio utaja vipi uhusiano wa umbali kati ya Dunia na jua na Dunia na hiyo planet X pamoja na umbali kati ya Jua na PlanetX ? Uhusiano na kwa muktadha huo uwezekano wa hiyo sayari kuonekana upo kwa rejea mkao wa Dunia na kulizunguka jua.
 
Ulimwengu huu wa nyama hakuna uhalisia wa hayo mambo
Binadamu ameletwa hapa na Mungu peke yake kupata taabu Kama zote.hao alliens ni cospirancy theory.msipotoshwe huko ndiko kuabudu sanamu Sasa.

Kama tofali zipo na zimeonekana,kama angekuwepo aliezitengeneza angeshazungumza ama kujulikana kabla ya mleta mada pengine kufahamu
Haya mambo yapo
 
Kama tofali zipo na zimeonekana,kama angekuwepo aliezitengeneza angeshazungumza ama kujulikana kabla ya mleta mada pengine kufahamu
Haya mambo yapo
 
Ulimwengu huu wa nyama hakuna uhalisia wa hayo mambo
Binadamu ameletwa hapa na Mungu peke yake kupata taabu Kama zote.hao alliens ni cospirancy theory.msipotoshwe huko ndiko kuabudu sanamu Sasa.
Vipi hii hapa ni photoshop au?
 
Hata mimi nilisha-conclude hao jamaa wapo na wana akili na teknolojia kubwa kuliko sisi. Shida huwa najiuliza kwa nini hawajawahi kurudi kutujaribu kwenye vita na wanadamu? Je, wanajua sisi ni hohe hahe kwenye teknolojia ama?
Wataalam wanadai uzito wa matofali hayo, unaleta shida kufikiria teknolojia iliyotumika kuyabeba, kuyaleta na kuyapanga hayo hayo matofali ni kubwa na vitu vilivotumika ni vizito sana ambako mpaka sasa hakuna teknolojia ya kubeba uzito kama huo.
Mfano mzuri kuna zana nyingi za kale na michoro kwenye mawe nk
Utaambiwa eneo hili waliishi watu zamani za kale

Swali hao watu walienda wapi
 
binadamu wa zamani walikuwa na akili sana na walifika mbali kiteknolojia kuliko sisi...mpaka wakataka kwenda kwa mungu, maana yake walikuwa na space ships za kutosha...ndomaana mungu akaleta gharika kuwafutilia wote,,wnasayansi/wanahistoria wanasemwa volcano na vimondo viliwaua bianadamu wote wa mwanzoni....huenda volcano/magma kwa wanahistoria ndiyo maji kwenye gharika la nuhu
 
binadamu wa zamani walikuwa na akili sana na walifika mbali kiteknolojia kuliko sisi...mpaka wakataka kwenda kwa mungu, maana yake walikuwa na space ships za kutosha...ndomaana mungu akaleta gharika kuwafutilia wote,,wnasayansi/wanahistoria wanasemwa volcano na vimondo viliwaua bianadamu wote wa mwanzoni....huenda volcano/magma kwa wanahistoria ndiyo maji kwenye gharika la nuhu
Hilo la kuwa waliuawa na gharika nalikubali kwa sababu zana nyingi za kale walizotumia hupatikana mabondeni na kwenye makorongo mfano Isimila nk kuonyesha kuwa zana zilisombwa na maji na kutupwa kwenye hayo makorongo

Ushahidi kuwa kipindi cha Nuhu Tanzania walikuwepo watu wanaishi na gharika iliwakuta
 
Annunaki ni wagunduzi wa dhahabu na ndio ilikua mission Yao duniani, na dhahabu ya kwanza waliivumbua Kush na wao ndio waliomuongezea Primive/Zamadam DNA
zilizombust kua Homo sapiens kamili
Ili amsaidie Kwenye kazi za uchimbaji gold na ndio maana ukienda Zimbabwe Kuna machimbo ya kale sana
Annunaki ndio waanzilishi wa ustaarabu mkubwa sana huko Misri, Mesopotamia, Maya, Aztec, Peru, Indus valley, china nk na ndio maana ukienda sites utaona shughuli kubwa huko ilikua dhahabu tupu na kuna ushahidi wa bronze mpaka Leo

Wewe jiulize dhahabu iliyochimbwa Kwa mabillion ya Tani zama hizo zilipotelea wapi na kama tujuavyo falme za kale bila dhahabu ni SAWA na hakuna kitu lakini zote zikaja potea ghafla tu

Ina maana baada ya Annunaki kumaliza mission wakatoweka na mzigo na kuwaacha watu Kwenye mataa wakijiuliza hao miungu wenye ujuzi na nguvu wameenda wapi?
Inasadikika Hawa viumbe walitoweka na baadhi ya jamii za watu mfano jamii ya Maya na Peru wanadai Babu Zao walitoweka ghafla tu
Na huko nchini Mali jamii ya Dogon wanadai Babu Zao walishawahi tembelewa na viumbe kutoka sayari ya Sirus B na wakawapa ujuzi wa Mahesabu,elimu ya nyota maana jamii za Dogon walikua wanajua Dunia ni duara kitambo sana na mpangilio wa Sayari zote pamoja na galaxies kiujumla mpaka Kuna mtafiti Miaka ya 1880's alifika Kule akashangaa jamaa wanamchorea ramani ya Dunia na kuonesha mabara na kuwaambia aoneshe anapotokea akabaki anashangaa tu wamejuaje pia wakamwambia wao wanajua Dunia inazunguka jua na kujizungusha katika mhimili wake unapata usiku na mchana tofauti na jamii nyingine zikijua Dunia ni flat

Pia Dogon wakasema Dunia hapo kale ilipata kutembelewa na viumbe aina mbali mbali wakiwemo
Annunaki na sirians na walijenga bases na underground nyingi sana chini ardhi na baharini pamoja na Pyramid's
Hivyo sishangai kuona mambo haya Leo!
 
Asee makubwa haya
hayo tu unashangaa unaambiwa Hawa viumbe ndio walio mproject Binadamu Caucasians (Wazungu & co )ndio Hawa Hawa walio watoa watu (Blacks)
Wa pale Oldupai gorge karibu na Bustani za Eden Ngorongoro na Serengeti wakamwongezea DNA Zamadam akaja kua homo sapiens kamili na wakampa mission Kule kush na Zimbabwe ya kuchimba Dhahabu hao viumbe Wana story usizoambiwa popote,
Wewe unadhani wamisri wa kale walipata wapi ujuzi mpaka wakajenga Pyramids?
Kuna makubwa tukiamua kuyafukunyua hapa utaona ni kufuru kikubwa usiwe brain washed tu propaganda za dini utaambiwa na utapata madini adimu!
 
Back
Top Bottom