Ushabiki wa mihemko ni janga jipya la Taifa

Ushabiki wa mihemko ni janga jipya la Taifa

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
2,334
Reaction score
3,567
Kumekua na kasumba ya watanzania hasa katika siku za hivi karibuni kupinga au kuunga mkono bila kufikiri wala kutafakari kwa kina.

Unakuta mtu hajui chochote kuhusu mteule lakini kapanua limdomo lake kusifia ama kuponda uteuzi husika.

Mimi nashauri tungoje kwanza ili tuje kupinga au kusifia utendaji wa wateule wakiwa kazini tayari mie sidhani kua kuna umhim ata kwa mawaziri watakaoteuliwa kuandaa sherehe na mbwembwe kama ilivyozoeleka ni busara wakapitiliza kazini kwani hali huku mtaani ni dhoofu saana wananchi wanaitaji matokeo.
 
Kama unasubiri matokeo kuletwa na fisiem,,,pole sana LA muhimu jikite kwenye mambo yako jitafutie kipato chako uhudumie familia
 
Siasa zimewaharibu sana hiki kizazi, hata post election campaign bado watu wapo wanapoliticize kila kitu, huu ni ujinga wa kiwango cha lami. Uchaguzi umeisha kilichobaki sasa ni kuwa na watendaji kwa manufaa ya nchi. Hilo la ushabiki limeonekana kwenye upigwaji kura bungeni week hii, ccm wako around 70%; Speaker na naibu wake wamepita kwa markup hiyo ya wastani wa 70% hivyo tutegemee always kunapokuwa na uchaguzi wowote au upitishwaji vifungu bungeni tutakuwa na markup hiyo hiyo
 
Awamu iliyopita serikali ililaumiwa haifanyi kazi kwenye kukusanya kodi za simu. Serikali ikaweka kodi ya shilingi elf kwa mwezi kwa simcard. Mkalia mpaka ikaondolewa,mkasahau mlimshangilia yule mbunge aliyeishambulia serikali huku akikunja uso na ngumi bila kufahamu athari zipi kwako mlalahoii

Kwenye kampeni iliambiwa serikali mbovu hii haiwajibiki ipasavyo. Sasa inawajibika ipasavyo kuwabomolea waliojenga holela mnapiga kelele. Yuko wapi mbunge wako wa kwenda kuweka pingamizi mahakamani? Yeye kawahi kwenda kuweka pingamizi mahakamani kupinga ushindi wa mwenzie na sio kukunusuru wewe. Mjipime na kutafakari athari zinafata sio kushangilia tu
 
umeongea na kuandika vizuri ila una jaziba sana, ungetulia kwanza
 
Leo kuna mbunge mmoja amemwita mwenzake eti kapitia mlango wa nyuma wakati yeye kazaa kabisa na mwenyekiti wa chama na ndiye aliyempeleka bungeni kama fadhila kwa hawala
 
Awamu iliyopita serikali ililaumiwa haifanyi kazi kwenye kukusanya kodi za simu. Serikali ikaweka kodi ya shilingi elf kwa mwezi kwa simcard. Mkalia mpaka ikaondolewa,mkasahau mlimshangilia yule mbunge aliyeishambulia serikali huku akikunja uso na ngumi bila kufahamu athari zipi kwako mlalahoii

Kwenye kampeni iliambiwa serikali mbovu hii haiwajibiki ipasavyo. Sasa inawajibika ipasavyo kuwabomolea waliojenga holela mnapiga kelele. Yuko wapi mbunge wako wa kwenda kuweka pingamizi mahakamani? Yeye kawahi kwenda kuweka pingamizi mahakamani kupinga ushindi wa mwenzie na sio kukunusuru wewe. Mjipime na kutafakari athari zinafata sio kushangilia tu

Unajua hesabu kweli chukulia tupo 45m sasa wanaotumia simu ni 20million x1000permonth= 200billionx12month=2.4trill per year huo ni wizi kwa wananchi
 
Awamu iliyopita serikali ililaumiwa haifanyi kazi kwenye kukusanya kodi za simu. Serikali ikaweka kodi ya shilingi elf kwa mwezi kwa simcard. Mkalia mpaka ikaondolewa,mkasahau mlimshangilia yule mbunge aliyeishambulia serikali huku akikunja uso na ngumi bila kufahamu athari zipi kwako mlalahoii

Kwenye kampeni iliambiwa serikali mbovu hii haiwajibiki ipasavyo. Sasa inawajibika ipasavyo kuwabomolea waliojenga holela mnapiga kelele. Yuko wapi mbunge wako wa kwenda kuweka pingamizi mahakamani? Yeye kawahi kwenda kuweka pingamizi mahakamani kupinga ushindi wa mwenzie na sio kukunusuru wewe. Mjipime na kutafakari athari zinafata sio kushangilia tu

Wewe unazungumzia kodi ya simu ambayo moja kwa moja inamuumiza mtumiaji na sio mwenye kampuni, ningekuona wa maana kama ungezungumzia juu ya uwazi wa mikataba ya madini ikiwemo gas na uranium vitu kitu ambacho hatujui lolote juu ya taifa linapata nini hadi sasa.
 
Kumekua na kasumba ya watanzania hasa katika siku za hivi karibuni kupinga au kuunga mkono bila kufikiri wala kutafakari kwa kina.

Unakuta mtu hajui chochote kuhusu mteule lakini kapanua limdomo lake kusifia ama kuponda uteuzi husika.

Mimi nashauri tungoje kwanza ili tuje kupinga au kusifia utendaji wa wateule wakiwa kazini tayari mie sidhani kua kuna umhim ata kwa mawaziri watakaoteuliwa kuandaa sherehe na mbwembwe kama ilivyozoeleka ni busara wakapitiliza kazini kwani hali huku mtaani ni dhoofu saana wananchi wanaitaji matokeo.
We' wahitaji matokeo gani wakati wamesema wazi ni walewale,hivi ndugu yangu hujapata picha yoyote tangu tar.26/10/2015 hadi leo? kama siyo nakupa pole sana kama bwana mangush.
 
Back
Top Bottom