Ushabiki na unafiki wa tanzania

Ushabiki na unafiki wa tanzania

M.Kwidohya

Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
61
Reaction score
7
salaam sana wa kubwa na wadogo ni matumaini yangu sote ni wazima
nimeamua kuleta maono yangu kwenu kama ndugu na Mtanzania mwenzenu na sikitika sana ndugu zangu kuona tuna potea na kupotoshwa na ushabiki usio na nyuma wala mbele inakuaje leo fisadi tulie msema na kumkemea na kumlani kwa kila maneno adi ya sio kuwepo kwenye kamusi awe shujaaa
inasikitisha sana yule yule tulie mkataa leo ndio kawa kimbilio letu tena mkombozi tunae muandaa kumpa nchi
inasikitisha kuona mtanzania ambaye alitoa chozi tena kwa mayowe leo hii kasahau na anacheka kwa meno yote nnje inaumiza sana wapi sisi tunaenda nani katuloga jamani yani tumekua na akili ndogo kama za kuku inasikitisha sana
kweli ule msemo pesa inaweza kununua imani ya mtu ni kweli leo hii Tanzania ukiwa na pesa wewe ni mungu mtu cha kushangaza adi viongozi wa dini wamesahau maneno yao na mafundisho yao kwamba tusiwape mafisadi nchi leo wapi ao ao ndio wa kwanza kuwaita kwenye alambee zetu za makanisa na misikiti kwa mwendo huu kweli tutafika kweli jamni
 
Mkuu nimejitahidi sana nijaribu kukuelewa lkn nimeshindwa. Jaribu kurudia sentensi zako na kusahihisha
 
salaam sana wa kubwa na wadogo pia ni matumaini yangu wote ni wazima nimeamua kuleta maono yangu kwenu kama ndugu na sote watanzania na sikitika sana ndugu zangu kuona tuna potea na kupotoshwa na ushabiki usio na nyuma wala mbele inakuaje leo fisadi tulie msema na kumkemea na kumlani kwa kila maneno adi ya sio kuwepo kwenye kamusi awe shujaaa inasikitisha sana yule yule tulie mkataa leo ndio kawa kimbilio letu tena mkombozi tunae muandaa kumpa nchi inasikitisha mtanzania ambaye alitoa chozi tena kwa mayowe leo hii kasahau na anacheka kwa meno yote nnje inaumiza sana wapi sisi tunaenda nani katuloga jamani yani tumekua na akili ndogo kama za kuku inasikitisha sana....kweli pesa inaweza kununua imani ya mtu kweli Tanzania ukiwa na pesa wewe ni mungu mtu adi viongozi wa dini wamesahau maneno yao na mafundisho yao msimpe fisadi nchi leo wapi ndio wa kwanza kuwaita kwenye alambee zenu kweli tutafika kweli jamni

fuata taratibu za uandishi.....unaandika kama una.........!
 
mi ni binadamu pia sijui yote so nipo tayari kwenye mapungufu kufundishwa
 
Back
Top Bottom