Simu ni nzuri kimuonekano. inatumia windows 6.1, ina chaja yake, ina 4GB internal storage. awali ilikuwa inatumika na mzungu. bei yake laki 160(maelewano yapo). kwa kujua features zake angalia google andika htc touch diamond. mimi naiuzia shida naipenda sana na ilikuwa ukumbusho wangu kwa huyu mzungu aliyenipa. nicheki 0686 964264
udhaifu wa simu:
1. haikai na chaji betri, ingawa nakupa betri 2 na chaja yake
2. kwa wale wapenz wa whatsup, haikubali.
3.old version windows 6.1
karibuni waungwana.
udhaifu wa simu:
1. haikai na chaji betri, ingawa nakupa betri 2 na chaja yake
2. kwa wale wapenz wa whatsup, haikubali.
3.old version windows 6.1
karibuni waungwana.