Used car import dumping fee

Aluta

Member
Joined
Aug 16, 2008
Posts
69
Reaction score
3
Habari zenu waungwana, naomba kuuliza kwa mwenye taarifa;Je ni kweli kuwa TRA wamepunguza miaka kuwa gari likiwa ni zaidi ya miaka saba unapigwa penalti?maana zamani nakumbuka ilikuwa ni miaka kumi kwenda juu..tafadhali naomba taarifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…