husnan jumah
Member
- Mar 13, 2013
- 5
- 0
Wana Jf,
Nipo na mtu wangu ambae nampenda sana na naamini na yeye ananipenda. Tupo katika mahusiano ya miaka mitano. Nimegundua sasa kuwa ana mtoto wa nje ya ndoa, habari niliyoipata wakati wa kutambulishana familia. Naomba mnisaidie mawazo ni nini cha kufanya? Niendelee naye ama ndiyo atazidi kunisaliti tukifunga ndoa?
Mawazo na ushauri wenu tafadhali.
Nipo na mtu wangu ambae nampenda sana na naamini na yeye ananipenda. Tupo katika mahusiano ya miaka mitano. Nimegundua sasa kuwa ana mtoto wa nje ya ndoa, habari niliyoipata wakati wa kutambulishana familia. Naomba mnisaidie mawazo ni nini cha kufanya? Niendelee naye ama ndiyo atazidi kunisaliti tukifunga ndoa?
Mawazo na ushauri wenu tafadhali.